jibu maswali yafuatayo kwanza
1.mnalingana umri?nani mkubwa?
2.mnalingana miili?nani mkubwa?
3.wewe ni polisi/mwanajeshi?
4.mnatumia muda wenu kuzungumza au ni kudinyana tu?
5.una bezi?
6.unatumia njia gani ili kuwa attractive kwake kila mkionana?
....jibu unayohisi ni muhimu...yatasaidia uweze kupata maoni zaidi...
Khaa! Ba'mdgo kwa ushauri mzuri, asante na nitaufanyia kazi.Kwanza mpe nafasi ya kukumiliki wakita wa tendo lenyewe,
Usimuonyeshe kama ujaridhika wakati mpo faraga,
Jidai amekuridhisha hata kama sio ili kumjengea kujiamini zaidi
jilainishe kwa miguno na malalamiko ya kufurahia gemu ili kuchochea apate hisia,
na uwe sharp wakati unabadili stlye usiwe mzito hii inafanya jamaa kisinyaa,
Na kabla amjaanza umuandaae kwa kuonyeshe unafurahia kile mnachoenda kukifanya, kwa tabasamu, mabusu, kuongea mambo ya kufurahiana.
Hii itamjengea kujiamini na ataperfome vizuri tu. kazi kwako
Habari wana jf,
Jamani mwenzenu nimepata mtu mzima mwenzangu wa kuliwazana cha jabu huyu kaka tunapokuwa tuko faragha namuona hajiamini hata kidogo, licha ya kumwachia mwili wangu wote lakini, bado ananiogopa. Najitahidi kumapa malavidavi yote bado hajiamini,
pili tatizo nililomgundua uwezo wa kuplay game for 20minutes hawezi, yaani nikibadilisha mkao tuu kosa inadidi uibust, je wapenzi ni tatizo gani? maumbile au kwa vile ananiogopa? ushauri wenu tafadhali
yaani mimi ni mbunifu wa kila kitu, nilijaribu akaishia kucheka tuuu, thus why nasema ananiogopa na hajiamini.
Shida ni aina ya mwili wako, mpe pole mwenzetu
oh tate nane!
Yaani mimi ni mbunifu wa kila kitu, nilijaribu akaishia kucheka tuuu, thus why nasema ananiogopa na hajiamini.
Tigo? ama sijaona vizuri......nisaidie kusoma maandishi yake Mwalimu mtani
oh tate nane!
Siku za mwanzo lazima uwe na haya, we ukitaka kututoa hamu sie Wanaume we jiachieeeeeeeee on the first date, yan tutakukinai fastaa, ila ukileta zile haya za kike zile, utaona SHUGHULI utakayopewa, Mark my wordsMapenzi hayana haya...ikiwa mwenzenu shughuli inamshinda kuna makosa gani dada kutafuta solution...
mpe 0713 labda atazinduka.
Mi kazi yangu leo ni kukusoma tu baaasi!!Smile jamani! Hivi mfanye romance, mje muanze game hadi aje akufukishe mlima kilimanjaro, bado ni dk 20 tu? hapo si utatoka kapa best, Smile inaonekana wewe muziki wa kikubwa huuwezi
mpe 0713 labda atazinduka.
i mean romance ipo ila mii game nahesabu pale kuchop chop
Mi kazi yangu leo ni kukusoma tu baaasi!!