Jamani msaada wenu juu ya hizi Fani..

Jamani msaada wenu juu ya hizi Fani..

Joined
Sep 23, 2013
Posts
27
Reaction score
4
jamani wanaJF Nipo chuo Nilipenda kusoma ICT ila kuna watu wa karibu wamenishauri nisome AUTO ELECTRIC (UMEME WA MAGARI)....
Naombeni ushauri weni jamani masomo tunaanza wiki ijayo....
 
Kama unaishi kwa kufuata ushauri wa watu i.e hujui unafanya nini,huna dira,malengo yako hayaeleweki,unafuata tu mkumbo,nk.
mimi nakushauri ukasomee Ushoga kwani inalipa sana!
 
Soma auto electricity kwani inatoa fursa nyingi za kujiajiri na ukizingatia magari mengi kwa sasa ni ya mfumo wa umeme. Ict siyo issue kwani imewajaza wengi mtaani na hawawezi kujiajiri wenyewe. Vinginevyo usikilize moyo wako.
 
Hivi Ni Vyuo Gani Vingine Vinavyofundisha Auto Electricity Mbali Na Veta?
 
Back
Top Bottom