Huwa tunawanga wote...mfyuuu!narudia tena too much make up...nimwonee wivu mtu ambaye yupo ulimwengu mwingine mbali na maisha yangu we vipi!!kanunue ugomvi kwingine sitaki shobo!!
Kwakweli hizi za mwisho picha imemtendea haki, bali zile za juu make up imezidi. Naona siku hizi ana furaha, anapiga picha kama mwanamke sio zamani akipiga picha anaonyesha alama za ubabe mf anakonda, commando style.