Jamani mimi mapenzi tena basi!


Ha ha ha, at 27!

Bora ufe tu.
 
"Something is wrong somewhere" haiwezekani uwe unasalitiwa na kila mwanamke unayempata. Kuna kitu kwako hakiko sawa kwenye sekta ya mapenzi,watafute hao wanawake waliokusaliti uwaulize sababu za usaliti wao nini. Ila uende friendly,utapata jawabu.
Muongo huyu ukute hata hasimamishi au pre ejaculation za kutisha
 
Asante sana kwa busara zako, nimepata kitu kimoja kwenye ushauri wako, ki ukweli mimi sijawai kua mcheshi na sina kipaji cha ucheshi kwa wanawake zangu uenda hilo ndo tatizo.
 
Kweli nimeamini humu kuna ushauri murua, asante ndugu yangu maana umenifungulia mtazamo mwingine.
 
Mtu Mwenye biashara inayomuingizia Tsh 500K kwa siku hawezi kuleta malalamiko ya kusalitiwa na mpenzi hapa JF kijana. Jitafakari halafu chukua hatua. Inawezekana tatizo lako kubwa ni Uongo na Ulaghai kwa hao mabinti. Jitathmini.
 
Daah promo n matangazo on fleek mnaotafuta mtarimbo six pack n pesa kazi kwenu
 
Asante sana kwa busara zako, nimepata kitu kimoja kwenye ushauri wako, ki ukweli mimi sijawai kua mcheshi na sina kipaji cha ucheshi kwa wanawake zangu uenda hilo ndo tatizo.
Jitahidi sana na ucheshi usiwe serious kama gaidi au kamanda Sirro😉😀. Pia kuwa muongeaji na msikilizaji hata kama hupendi anachokiongea wewe msikilize ili kumrizisha moyo wake. Sio kila tunachokifanya/tunachokiongea nao wanakipenda lakini huridhia ili kuyakuza mapenzi tu.
 
watakuja tu PM umewaweza, 500kpd na hali ngumu hii



nasema hvi watakuja tu PM
Naomba asije binti yeyote coz kwa sasa simuamini mwanamke yeyote, ninachohitaji ni ushauri tu jinsi ya kupita hiki kipindi kigumu na nisije jutia uamuzi nitakao uchukua coz mimi kinachoniumiza ni mimba aliyoibeba coz sina uhakika kama ni yangu ama si yangu, kwa sababu ya tukio la fumanizi.
 
Mtu Mwenye biashara inayomuingizia Tsh 500K kwa siku hawezi kuleta malalamiko ya kusalitiwa na mpenzi hapa JF kijana. Jitafakari halafu chukua hatua. Inawezekana tatizo lako kubwa ni Uongo na Ulaghai kwa hao mabinti. Jitathmini.
Mkuu kuwa na hela sio kila kitu kuna muheshimiwa fulani ana hela hatarii lakini mkewe alikuwa analiwa na jamaa kachoka kinomaa.
 
Daah promo n matangazo on fleek mnaotafuta mtarimbo six pack n pesa kazi kwenu
Daaaaah! ndugu yangu, mimi sihitaji mwanamke wa kunifata, coz mimi nikihitaji mwanamke namfata yeye, na siyo yeye anifate mimi coz wengi walionifata ndo walikua wa kwanza kunisaliti so, kiufupi sihitaji binti yeyote anifate private kwa hii post, me ninaomba ushauri tu coz sijui nifanye nini.
 
Nimekuelewa ndugu, nitalifanyia kazi hilo.
 
wambie wazazi kuwa umemfumania so ndoa hairisha akijifungua pima DNA baada ya majibu nyoa au suka. Hiyo mimba sio yako
Duuuuuuh! tayari wazazi wanajua mimba ni yangu. ila asante ndugu nitaangalia uwezekano wa kufanya ivo.
 

Utakuwa na kibamia wewe

Yaani kila demu anagongwa nje
 
Mtu Mwenye biashara inayomuingizia Tsh 500K kwa siku hawezi kuleta malalamiko ya kusalitiwa na mpenzi hapa JF kijana. Jitafakari halafu chukua hatua. Inawezekana tatizo lako kubwa ni Uongo na Ulaghai kwa hao mabinti. Jitathmini.
Natamani uwe katika situation niliyopo kwa sasa ndo utaujua ukweli, ila hata hivyo nashukuru kwa mtazamo wako ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…