Sukari Yenu JF-Expert Member Joined Dec 8, 2014 Posts 1,698 Reaction score 1,260 Dec 9, 2019 #1 Vile mapenzi yanavyonoga, unaweza kudhani dunia yote yako. Ni habari njema sana kwa wanaofurahia mapenzi. Mapenzi haya jamani yaacheni tu kama yalivyo. Japo maumivu yapo lakini binaadamu hata hatukomi kupenda tena. Mapenzi matamu. Usiku huu mtoto anajiachia namna hii ni burudani sana. Ukipendwa pendeka.
Vile mapenzi yanavyonoga, unaweza kudhani dunia yote yako. Ni habari njema sana kwa wanaofurahia mapenzi. Mapenzi haya jamani yaacheni tu kama yalivyo. Japo maumivu yapo lakini binaadamu hata hatukomi kupenda tena. Mapenzi matamu. Usiku huu mtoto anajiachia namna hii ni burudani sana. Ukipendwa pendeka.
maji ya gundu JF-Expert Member Joined Oct 7, 2018 Posts 3,096 Reaction score 4,758 Dec 9, 2019 #2 Unajitumia na kujijibu mwenyewe kweli depression mbaya sana
Vhagar JF-Expert Member Joined Jun 8, 2015 Posts 20,773 Reaction score 40,444 Dec 9, 2019 #3 Enjoy ndio wakati wako huu. Maana itafika muda hamtoweza fikiria hizo mambo.
Hammaz JF-Expert Member Joined May 16, 2018 Posts 7,019 Reaction score 15,234 Dec 9, 2019 #4 maji ya gundu said: Unajitumia na kujijibu mwenyewe kweli depression mbaya sana Click to expand... 😂😂😂😂😂😂😂 Wewe jamaa ni Mafia.
maji ya gundu said: Unajitumia na kujijibu mwenyewe kweli depression mbaya sana Click to expand... 😂😂😂😂😂😂😂 Wewe jamaa ni Mafia.
D A E M U S H I N JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 22,633 Reaction score 121,022 Dec 9, 2019 #5 mapenzi ya vikatuni kama rango
maji ya gundu JF-Expert Member Joined Oct 7, 2018 Posts 3,096 Reaction score 4,758 Dec 9, 2019 #6 Hammaz said: 😂😂😂😂😂😂😂 Wewe jamaa ni Mafia. Click to expand... Normally mzee
Sad Larry JF-Expert Member Joined Jun 17, 2019 Posts 414 Reaction score 556 Dec 9, 2019 #7 Hii December nitaona meng
Cash Generating Unit JF-Expert Member Joined Jan 12, 2019 Posts 13,285 Reaction score 39,490 Dec 9, 2019 #8 Mzee ndo umenza mapenz ??
Starboywiz JF-Expert Member Joined Nov 28, 2016 Posts 867 Reaction score 1,456 Dec 9, 2019 #9 Sad Larry said: Hii December nitaona mengView attachment 1287212 Click to expand... Nomaa kekofenicha
Sad Larry said: Hii December nitaona mengView attachment 1287212 Click to expand... Nomaa kekofenicha
Sukari Yenu JF-Expert Member Joined Dec 8, 2014 Posts 1,698 Reaction score 1,260 Dec 9, 2019 Thread starter #10 Unaumwa wewe. Sijafikia bado kiwango hicho cha upuuzi. maji ya gundu said: Unajitumia na kujijibu mwenyewe kweli depression mbaya sana Click to expand...
Unaumwa wewe. Sijafikia bado kiwango hicho cha upuuzi. maji ya gundu said: Unajitumia na kujijibu mwenyewe kweli depression mbaya sana Click to expand...
Sukari Yenu JF-Expert Member Joined Dec 8, 2014 Posts 1,698 Reaction score 1,260 Dec 9, 2019 Thread starter #11 Ee baba. Kwani kuna tatizo? Champagnee said: Mzee ndo umenza mapenz ?? Click to expand...
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,265 Dec 10, 2019 #12 Akizingua ulete mrejesho pia
mangyi JF-Expert Member Joined May 16, 2018 Posts 723 Reaction score 878 Dec 10, 2019 #13 Kuanza mapenz ukubwani ni mambo za kiwaki kinoma asee
Gucci gang JF-Expert Member Joined Jan 7, 2018 Posts 2,716 Reaction score 5,339 Dec 10, 2019 #14 Hio conversation utafuta vitu vyooote lakini hiyo huwezi..🤣🤣🤣
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,393 Reaction score 59,137 Dec 10, 2019 #15 Nimehifadhi kwa matumizi ya baadae..(usiku)
Y yuzazifu JF-Expert Member Joined Oct 6, 2018 Posts 5,108 Reaction score 9,463 Dec 10, 2019 #16 Endelea2 Kujimwambafai Mkuu Ndo Wakat Wako Huo Wakula Mema Ya Nchi
Smart Guy JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 6,880 Reaction score 7,021 Dec 10, 2019 #17 blogger said: Unaitwa 'babe' nawe unajibu 'babe' Kesho utaitwa 'bae' nawe utajibu 'bae' Keshokutwa 'my' nawe utajibu ' my'... Alafu unatarajia siku moja nawe uwe Baba.!!!??? Click to expand... Sasa unapaswa kujibu vipi?
blogger said: Unaitwa 'babe' nawe unajibu 'babe' Kesho utaitwa 'bae' nawe utajibu 'bae' Keshokutwa 'my' nawe utajibu ' my'... Alafu unatarajia siku moja nawe uwe Baba.!!!??? Click to expand... Sasa unapaswa kujibu vipi?
katoto kazuri JF-Expert Member Joined Feb 10, 2018 Posts 6,126 Reaction score 5,756 Dec 10, 2019 #18 maji ya gundu said: Unajitumia na kujijibu mwenyewe kweli depression mbaya sana Click to expand... Acha uchokozi
maji ya gundu said: Unajitumia na kujijibu mwenyewe kweli depression mbaya sana Click to expand... Acha uchokozi
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 45,751 Reaction score 55,787 Dec 10, 2019 #19 Wanafunzi wa chuo mna tabu sana
hearly JF-Expert Member Joined Jun 19, 2014 Posts 51,141 Reaction score 72,854 Dec 10, 2019 #20 Hahaa maji ya gundu said: Unajitumia na kujijibu mwenyewe kweli depression mbaya sana Click to expand...
Hahaa maji ya gundu said: Unajitumia na kujijibu mwenyewe kweli depression mbaya sana Click to expand...