Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Wanajamvi imebidi niulize maana katika jukwaa letu hili kila mara naona neno masaburi linatumika sana lakini bahati mbaya nimekuwa nikilielewa kutokana na jinsi lilivyotumika. Leo katika mada moja mchangiaji mmoja kasema hivi...... kweli nyani haoni masuburi yake" badala ya nyani haoni kundule. Sasa nauliza Masaburi = na makalio au kundule? Msaada jameni
MtamaMchungu
Today 18:06
#16 JF Senior Expert Member Array
Join Date : 10th April 2011
Posts : 396
Rep Power : 317
[h=2]
Re: CCM jamani![/h]
Today 18:06
#16 JF Senior Expert Member Array
Join Date : 10th April 2011
Posts : 396
Rep Power : 317
[h=2]
Hawa magamba si ndio wanapenda sana kutema mapovu humu kuhusu ofisi za CDM? Kweli nyani haoni masaburi yake, tena kwa hili ya Magamba makubwa kama ya tembo.
Ushahidi huo jamani masaburi ni nini?
Ushahidi huo jamani masaburi ni nini?