Nauamini utendaji wako maana ile ya mkulu bagamoyo kuitoa tu yataka uwe mwendawazimu, we are waiting for the RiziwaniOndoa shaka nipo kazini! Naendelea na uchunguzi unajua ishu ni kubwa inaigusa ikulu hivyo inahitaji umakini!
Ahaaaahaaahaaa hee kumbe nako kuna mifadhaiko? Pole wenzangu na mie!hii thread ni wapanda ndege tu...... waendesha maguta pia tunapata shida tunapopeleka matunda kwa mama muuza genge dah, yaani mweeee..... akiinama lal.
wale wa vingamuzi kipi kinafaa kati ya star times easy tv na hao ATN naona hao jamaa wa atn wanakuja juu kwa mnaopenda ga,e,jana nimewasikia radio maria wanapatikana mikoa mingi,
Kumbeee nilikuwa sijachungulia!!king'amuzi cha star times kuna channel ya uganda inaitwa UBC inaonyesha uefa champions league.
Ahaaaahaaahaaa hee kumbe nako kuna mifadhaiko? Pole wenzangu na mie!
MmKatika umri wangu wa miaka 32 ya uhai wangu nimebahatika kusafi kwa ktk mataifa yapatayo 22 duniani!
Kitu kilicho nishangaza ni aina ya mavazi ya wahudumu wa kike ktk ndege kuwa katka muundo wa vimini mahaba!
Naomba mnisaidie juu ya hili, haya mavazi kwa nini ni vimini mahaba na yenye kufanana kwa wahudumu wa ndege karibu wote dunia?
Nawatakia utazamaji mwema wa ligi ya mabingwa leo mimi naangalia mechi ya Real Madrid vs Ajax, sijui wewe mswahili mwengu unaangalia mechi gani
Mzee unafukua kaburi. Haya yalishapita, kijana amekuwa mtu mkubwa haya yamebaki historia
Hahaha pastor anataka picha