zegamba180
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 820
- 541
Kuna jamaa yangu amepanda miti ya mitiki 105. Mpaka sasa imefikisha miaka 4. Anayejua soko lipoje?
soko ni kwa iliyofikisha miaka si chin i ya 20...Kuna jamaa yangu amepanda miti ya mitiki 105. Mpaka sasa imefikisha miaka 4. Anayejua soko lipoje?