sweetlady inawezekana wewe hujui nini maana ya kupenda............ Kama mtu kakolea hawezi kuona hiyo mimba, kwani ni ugonjwa....? Mie kuna jamaa niliwahi kuishi naye jirani, alioa binti aliyekuwa na mimba aliyetelekezwa na sasa wana almost miaka mitano ya ndoa na jamaa alipandikiza mtoto wake baada ya mke kujifungua na sasa wana watoto wawili.................. wewe unaongea nini bana..................!