Jamani iv hawa TCU wakoje???

Jamani iv hawa TCU wakoje???

Abdul Nassir

Member
Joined
Sep 20, 2015
Posts
79
Reaction score
9
Jana nlkua nkijaza TCU.cas second selection nlipoingia nkaambiwa naweza zaja course mpaka 5 wakati nkiwa nasearch cha ajabu nmeona course za udsm zkiwa bado hazijajaa na kuna remaining capacity kubwa sanna wakati yalipotoka majna ya walojaguliwa batch 1 udsm ilijaa. Sas hii inamaana gani???
 
Back
Top Bottom