dos santos
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 256
- 128
Hapana Kiwese. I'm very serious. Issue sio kutoshelezana wala nini. At one point wanawake huota mapembe tu na solution tunazichelewesha kwa kuhofu lawana......assistant!!!!! Trust me, kama umeoa utakuja ona. By the way huu ni mwaka wa 9 kwenye marriage yangu hivyo ninaongea kwa data..
Hii sio fresh kabisa!!! Nikitaka hanipi, nikilazimisha nabaka, nikiomba asubuhi sithamini usingizi wake..yaani kupata ni mpaka ninyemelee nijipendekezeshe.....eti sasa joto siku hizi ndio kabisaaaa......
Lakini nimwangalia hausigeli anaana kuiva iva - kashakunywa lita kadhaa za mfuta mabichi ya kupika. Kusem ukweli nishaanza kumtamni, na il nisijidhalilishe, sasa nina tengene contact list mpya kwenye simu - you know what it is for.
Wanawake wote wenye sifa kama za huyu mnatutia ibilisi, mnatukwaza!!!! Elimikeni, fumbueni mabichwa yenu, jitambueni na mtambue mjukumu yenu, yatekelezeni!!!!!! Mburulaaaz akiona mme kachepuka itaanaza kuwa visa ndani ya nyumba, so what should a brother do!!!!!
Chukua house geli
Hii sio fresh kabisa.
Nikitaka hanipi, nikilazimisha nabaka, nikiomba asubuhi sithamini usingizi wake, yaani kupata ni mpaka ninyemelee nijipendekezeshe eti sasa joto siku hizi ndio kabisaaaa.
Lakini nimwangalia hausigeli anaana kuiva iva - kashakunywa lita kadhaa za mfuta mabichi ya kupika. Kusema ukweli nishaanza kumtamni, na ili nisijidhalilishe, sasa nina tengeneza contact list mpya kwenye simu - you know what it is for.
Wanawake wote wenye sifa kama za huyu mnatutia ibilisi, mnatukwaza elimikeni, fumbueni mabichwa yenu, jitambueni na mtambue mjukumu yenu, yatekelezeni.
Mburulaaaz akiona mme kachepuka itaanaza kuwa visa ndani ya nyumba, so what should a brother do.
Wewe ndio hutekelezi majukumu yako ukitekelekeza majukumu yako huyo atakupa asubuhi mchana jioni jitathmini vizuri na usifikiri umeoa kipofu au chuma na yeye ana macho kuna wanaume wanaomvutia pia sobusifikiri ni wewe ndio una macho peke yako. Linda ndoa yako na wtt wako jitathmini vizuri
Huko ni kumtetea mwanamke mwenzako na kama ni misemo basi ni ule wa muwamba ngoma..... tumia data ulizopewa kujudge sio kutumia assumption zako kisa anayelaumiwa ni mwanamkekama wewe. Be objective bana.
Nitonye nimeoa, siruhusiwi kwenda na nyege kazini.