Jamani hiyo Gari imeibiwa mbezi msakuzi naomba Msaada wa kusambaza picha hii magroup mbalimbali

mjunior2

JF-Expert Member
Nov 7, 2016
550
399
5c3f65f123f1b7cf654cf46287dd968b.jpg
 
Sasa unaomba msaada hujasema chochote,mtu akiiona kwa mfano afanyaje? Hakuna mawaslino au hata maelekezo ya police...
Kwa umri huo hujui cha kufanya?! khaa.. Tanzania ina hasara sana.. Watoto wa Kizungu wanatoka huko kwao wanafika hapa kwa ramani tu...wakiibiwa mabegi au kuvamiwa wanajua cha kufanya... One of our 'great thinker ' doesn't know how to report a stolen car?! Mmh...
 
DJN kibongo bongo bado mpyaa hiyooo daah pole yake
Muwe mnaweka tracking device angeipata mapema tuuuh
 
Back
Top Bottom