Jamani hawa NSSF vipi

Jamani hawa NSSF vipi

lucyivan

Member
Joined
Dec 1, 2013
Posts
5
Reaction score
0
NSSF mbona hatuwaelewi au ilikuwa danganya toto mbona mpaka leo kimya au wadau kuna mtu ameshapata taarifa yoyote
 
Mi mwenyewe sijui kuna nini mpaka leo kupo kimya tena sana.
 
Mwaka huu wajiri wengi wameamua kuchallenge jobseekers
 
Subiri interview ya tatu kama ww n mmoja wa waliopga zile mbili mkuu subira yavuta heri alwayz
 
mwezi watano ndo watu wanaaza kazi so kma kuitwa tna ni mwezi wa tatu mwishoni au wa nne kueni na subira
 
Hakuna mtu alyepigiwa simu mana naskia hawa watu huwa wanapiga simu tu kuwaita watu kazini.
 
Eeeh mungu jaalia niwe mmoja kati ya watakao pata hii kazi maana kitaa kugumu
 
nssf majibu tayari wechaguliwa watu 80 ila bdo hayajatoka njee nimetumiwa watsup anayetaka nimtumie aseme
 
calisy unayo ongelea ww ni hayo ya supu ya mawe au mengine kama vipi nitumie watsup kwa 0788924584
 
calisy unayo ongelea ww ni hayo ya supu ya mawe au mengine kama vipi nitumie watsup kwa 0788924584
 
Hv supu ya mawe yuko serious.... Hyo link yenyew imetolewa, mi hata cna imani nae
 
Back
Top Bottom