Habar wana JF,
Simuliwa omba yasikukute, nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga ndoa mwaka kesho kutwa, ila kuna tatizo ambalo linanisumbua sana, hashiki mimba huu ni mwaka wa tatu sasa najaribu lakini wapi,
Naombeni msaada nifanyaje mie.
Na ninampenda sana, pia napenda kuwa na mtoto
Ushauri tafadhali.