jamani eeh...!

mysteryman

JF-Expert Member
Aug 4, 2011
1,024
275
jamani chit-chat besides jamani nakiu mwenzenu..,.dah! Mambo gani haya sijanywa bia wiki ya tano hii jamani!!! Kah sio vizuri hivo kubaniana jama...najua leo ni bize monday lakini hata tubia tuwili tu jamani?!...hebu acheni unoko huo wa kubaniana jama ebo..!! Kwani jamaa angu ukinipa tubia tuwili unapunguza nini? Au mdada ukinipa tubia tutatu unapata nini?? Haya haya jamani nani atanipa hyo ofa jama...we niite tu leo mi ntaja lipiza ipo cku haki vile.,.kah nife na kiu na watanzania wenzangu mpo ebo...??!!
 
  1. I can guess your age
  2. I can guess you are a student
  3. I can guess your problem
  4. Mdogo wangu, badilika hiyo unayoelekea sio njia nzuri
Mamndenyi karibu mumsaidie kijana huyu anapotea

(kiukweli: nasikitika hata kuchangia sredi hii)
 
Last edited by a moderator:
  1. I can guess your age
  2. I can guess you are a student
  3. I can guess your problem
  4. Mdogo wangu, badilika hiyo unayoelekea sio njia nzuri
Mamndenyi karibu mumsaidie kijana huyu anapotea

(kiukweli: nasikitika hata kuchangia sredi hii)

lucas nini mbaya??
 
Last edited by a moderator:
Tukikupa huto tubia , ukishakua keroro utatupiga na kamzinga ka'ndomu!
Chezeiya nyapi weye!

hahaha kaka acha kunichekecha bana nitoe na huto tubia bana.....btw ndom za nini mimi!? Nimeacha hako kamchezo mwenzio tangu nanii anikatae muulize hata bishanga anajua......lol
 
Kuna mdada anaitwa Paloma anaweza kukusaidia, ni mwenye huruma sana.... Ila yeye anadai hatumii kabisa....
 
Last edited by a moderator:
Kuna mdada anaitwa Paloma anaweza kukusaidia, ni mwenye huruma sana.... Ila yeye anadai hatumii kabisa....

hatumii nini mkuu!? Kama ni kilevi haina noma mi ntakaja kinywaji ye atakata kilaji au sio kiongozi....
 
Last edited by a moderator:
Mimi kumnunulia au kumlipia pombe (hata soda samtaymzi) mwanaume asiyenihusu jamani huwa nahisi roho inaacha mwili......je dr huu ni ugonjwa gani.......? msaada tafadhali......

Preta - Yaeda Chini
 
kuwa makini na bia za ofa. ipo siku utashikishwa ukuta na midume wenzako
 
Mimi kumnunulia au kumlipia pombe (hata soda samtaymzi) mwanaume asiyenihusu jamani huwa nahisi roho inaacha mwili......je dr huu ni ugonjwa gani.......? msaada tafadhali......

Preta - Yaeda Chini

uchoyo
 
Dokta wa ugonjwa wako nimeshawasili...
Ugonjwa wa roho kuacha mwili huwa ni mbaya sana na madhara yake ni mtu kuishi na mwili bila roho...na kitaalamu huwa tunauita "mwibiro" yaani mwili bila roho.

Dr watu8!

Mimi kumnunulia au kumlipia pombe (hata soda samtaymzi) mwanaume asiyenihusu jamani huwa nahisi roho inaacha mwili......je dr huu ni ugonjwa gani.......? msaada tafadhali......

Preta - Yaeda Chini
 
Back
Top Bottom