SUZAN KIWANGA SUZAN- mwanamke mwanaharakati wa ukweli ninayemfahamu, ndiye aliyenipokea kwenye MWENDELEZO WA harakati zangu 2004 somewhere na kunipa mwongozo wa wapi nianzie hadi leo nifumbapo macho nakumbuka siku ile, nimemtazama bungeni leo anamshukia ...spika, katika hoja ya Elimu anasema serikali inadhalilisha usomi, ni kweli amedokeza kuwa posho za kujiimu za wanafunzi wa elimu ya juu ni ishara ya kuwa serikali haina dhati ya kuwasaidia wanafunzi hawa, na tena inawafanya waingie kwenye mitego na kuambukizwa ukimwi, akasema kuwa enzi za mwalimu hali haikua hivi, MARA Spika anamkatisha na kusema kipindi hicho wanafunzi walikuwa wachachee, Mama Suzan anamjibu kuwa ''ni kweli walikuwa wachache lakini hata pesa zilikuwa chache, kipindi hicho nchi haikua na wawekezaji kama sasa''....hahahahaaaaa Na wewe uwe mbunge wa jimbo sasa!!!! kiwango chako si cha viti maalum!!
Kwa kweli ameonyesha ni jinsi gani swala la elimu linavyochukuliwa kwa mzaha,kila wakati sera za elimu zimekuwa za majaribio hapajawahi kuwa na nia ya dhati kuwa na mpango mkakati wa muda mrefu kuboresha sekta ya elimu ya muda mrefu nchi in sera za elimu kutokana na matakwa ya world bank,USAID,na IMF inatuumiza sana kama nchi ,lakini Susan ni mfano wa wanawake wajasiri sana wazo lako zuri kipindi kijacho agombee jimboSUZAN KIWANGA SUZAN- mwanamke mwanaharakati wa ukweli ninayemfahamu, ndiye aliyenipokea kwenye MWENDELEZO WA harakati zangu 2004 somewhere na kunipa mwongozo wa wapi nianzie hadi leo nifumbapo macho nakumbuka siku ile, nimemtazama bungeni leo anamshukia ...spika, katika hoja ya Elimu anasema serikali inadhalilisha usomi, ni kweli amedokeza kuwa posho za kujiimu za wanafunzi wa elimu ya juu ni ishara ya kuwa serikali haina dhati ya kuwasaidia wanafunzi hawa, na tena inawafanya waingie kwenye mitego na kuambukizwa ukimwi, akasema kuwa enzi za mwalimu hali haikua hivi, MARA Spika anamkatisha na kusema kipindi hicho wanafunzi walikuwa wachachee, Mama Suzan anamjibu kuwa ''ni kweli walikuwa wachache lakini hata pesa zilikuwa chache, kipindi hicho nchi haikua na wawekezaji kama sasa''....hahahahaaaaa Na wewe uwe mbunge wa jimbo sasa!!!! kiwango chako si cha viti maalum!!
Kwa kweli ameonyesha ni jinsi gani swala la elimu linavyochukuliwa kwa mzaha,kila wakati sera za elimu zimekuwa za majaribio hapajawahi kuwa na nia ya dhati kuwa na mpango mkakati wa muda mrefu kuboresha sekta ya elimu ya muda mrefu nchi in sera za elimu kutokana na matakwa ya world bank,USAID,na IMF inatuumiza sana kama nchi ,lakini Susan ni mfano wa wanawake wajasiri sana wazo lako zuri kipindi kijacho agombee jimbo