Mpeleke dispensary yoyote atachomwa hydrocotizone ni sindanoJirani yangu kaja yuko anaumwa sana kwa kung'atwa na ng'e. Pls kwa anayejua dawa tafadhali nisaidie
Tumia kitunguu swaumu,kipondeponde kisha mwekee mgonjwa alipoumwa.
Hiv nge bado wapo? Mara ya mwisho kuwaona ni 1989.
Jirani yangu kaja yuko anaumwa sana kwa kung'atwa na ng'e. Pls kwa anayejua dawa tafadhali nisaidie
Poulen xana...!!?