Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
Hivo kwa nini mtu akitoa post yake mnamponda nakutoa maneno mabaya raja yenu nini?
A. Hatujawaomba uoe wanawake wasiowapenda wasiowadhamini au wanaume wasiowadhamini maana ndio stress zipo hapo.
Halafu humu mnakuja kutuadhibu kwakushindwa kuhimili maisha yenu.
B. Hamjapata wakuwaridhia mmepata wakuwatumia basi humu full keroo unajibu anyhow ila hujaombwa ukose gagamaa uoe .
C. Huna wakumnywea maji basi mnakerana tu wala hamna hili wala lile .
Ukija huku kerooo . Unawaletea wenzako.
D au vyote kwa pamoja unajikomba kila mahala .
Hadi kerooo.
Watu humu hatujawatuma sio mnakomment upuuzi masaa yote.
Nakuwakwaza wenzako ukijibu ujinga usijione poa kisa hamuonekani sio poa ni kerooo.
Wenzako wanahitaji support nzuri wewe unamkwaza eti unajidai mchambaji wapi wewe ni mwanadamu kama yeye toa ushauri mzuri sio ushauri mmbaya .
Good day .
A. Hatujawaomba uoe wanawake wasiowapenda wasiowadhamini au wanaume wasiowadhamini maana ndio stress zipo hapo.
Halafu humu mnakuja kutuadhibu kwakushindwa kuhimili maisha yenu.
B. Hamjapata wakuwaridhia mmepata wakuwatumia basi humu full keroo unajibu anyhow ila hujaombwa ukose gagamaa uoe .
C. Huna wakumnywea maji basi mnakerana tu wala hamna hili wala lile .
Ukija huku kerooo . Unawaletea wenzako.
D au vyote kwa pamoja unajikomba kila mahala .
Hadi kerooo.
Watu humu hatujawatuma sio mnakomment upuuzi masaa yote.
Nakuwakwaza wenzako ukijibu ujinga usijione poa kisa hamuonekani sio poa ni kerooo.
Wenzako wanahitaji support nzuri wewe unamkwaza eti unajidai mchambaji wapi wewe ni mwanadamu kama yeye toa ushauri mzuri sio ushauri mmbaya .
Good day .