Nami nasikia w2 walisha itwa na interview walisha piga kitambo ...ata zile za Diamond Trust Bank za tawi la Tabora nazo tyr!!,, ''Nchi hii Lazima ukae''
Kuhusu nafasi za Tabora Access Bank, Kuna jamaa yangu mmoja alhamisi iliyopita ametumiwa sms kwamba tar 27 oct 2013 afike Tabora kufanya written interview. Lakini kuhusu watu waliopo kazini sijajua. Otherwise kama kuna watu wapo kazini ngoja tusubiri hiyo tarehe 27 ndio mengne yatajulikana
Nami nasikia w2 walisha itwa na interview walisha piga kitambo ...ata zile za Diamond Trust Bank za tawi la Tabora nazo tyr!!,, ''Nchi hii Lazima ukae''