GE2025 Jamal Rwambow: CCM ilichukua laki 5 yangu, wakasema sifai kugombea

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kisu kimegusa mfupa.

Bado kwenye sanduku la kura napo awe makini chama changu hakitanii tumejipanga kushinda kwa sunami.

Ila kweli ushinde mbele ya Salum mwalimu n.k ufurahie kweli.

Kwanza tungeacha tu kuzunguuka kupiga kampeni tukaandaa hotuba kwenye television kazi imeshaisha.
 
Mm c chadema.mm c mwanaharakati. mm c mwanasiasa.mm c mfanyakazi watajuana wenyewe.mm ni chama tawala chama dume haya sasa wamekufikia ww chama dume na tawala.kila mtu atafikiwa kwa mda wake na kila jiwe itageuzwa.WAPI POLEPOLE WAPI BUSHIRI WALIKUWA NA KIBURI LEO WOTE TUNAPIGA KELELE
 
Reactions: Lax
Hakuna RPC mstaafu aliyewahi kutoboa siasani labda kwa mbali ni Zelothe Stephen na Uenyekiti wa CCM Arusha!!

Tibaigana alijitosa ubunge pia akapigwa chini.
 
ACT ni kama CCM tu, bado wamemuachia agombee vinginevyo angewekewa mapingamizi ndani na nje ya chama
 
Huyu anapoteza muda wake tu.angetulia alee wajukuu na ajilie pensheni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…