PreGE2025 Jamal Mangu, ajitosa ubunge Jimbo la Nyang’hwale

PreGE2025 Jamal Mangu, ajitosa ubunge Jimbo la Nyang’hwale

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Kada machachari wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Jamal Mangu, leo Juni 29, 2025, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Nyang’hwale, lililopo wilayani Nyang’hwale, mkoa wa Geita.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Komredi Mangu amesema amejiandaa kwa dhati kulitumikia jimbo hilo kwa kusimamia maendeleo jumuishi na kushirikiana na wananchi katika kujenga ustawi wa jamii.
 
Tumechoka na hussein gulamali bora hata muhhamad kimu angechukua fomu
 
Back
Top Bottom