DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango, Jamal Kassim Ali amechukua fomu ya Ubunge Jimbo la Magomeni visiwani Zanzibar, akiwa na dhamira ya kutetea kiti chake hicho cha ubunge kwa mara ya pili.
Zoezi la uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi mbalimbali ndani ya CCM limeanza Juni 28, 2025 na linaendelea katika mikoa yote nchini, huku wagombea mbalimbali wakiendelea kujitokeza kueleza dhamira zao za kugombea uongozi ndani ya chama hicho.
Zoezi la uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi mbalimbali ndani ya CCM limeanza Juni 28, 2025 na linaendelea katika mikoa yote nchini, huku wagombea mbalimbali wakiendelea kujitokeza kueleza dhamira zao za kugombea uongozi ndani ya chama hicho.