Jamaal April kaipeleka The Storybook Next Level

Mtanzania mjuaji ni mtu ambaye anaweza sema jinsi unavyokosea,wapi unaenda mrana kwa majigambo sana.kisha asikwambie vipi unaweza fanya sahihi ama umwambie unaonaje ukafanya wewe tujifunze zaidi(happy ndo utajua jinsi gani tuna majungu ya wazi kabisa) Mara nyingi hawajui hata pa kuanzia.ni Kama tumezaliwa kuponda ili tumuumize anayefanya Jambo na sio kujenga.
Sasa kuna Mtanzania kilaza na mbumbumbu yeye ukimwambia uhalisia anakutaka nawe ufanye kama yeye as if yeye kaiga kwa mtu ilimradi tu.

Ukimwambia gari lako ni jeupe anakwambia nawe si ununue lako. Huyu akisifia kitu kisha ukakikosoa yeye atakuona una wivu na ujuaji. Kumbe ni mtazamo tu!

Hii ni tofauti na wenzetu walioendelea wanaokaribisha kukosolewa. Ndio maana kampeni zao zina midahalo uku za kwetu zina wasanii wanaimba "...yani katoto kachafu kama bata".
 
Sasa kuna Mtanzania kilaza na mbumbumbu yeye ukimwambia uhalisia anakutaka nawe ufanye kama yeye as if yeye kaiga kwa mtu ilimradi tu.

Ukimwambia gari lako ni jeupe anakwambia nawe si ununue lako. Huyu akisifia kitu kisha ukakikosoa yeye atakuona una wivu na ujuaji. Kumbe ni mtazamo tu!

Hii ni tofauti na wenzetu walioendelea wanaokaribisha kukosolewa. Ndio maana kampeni zao zina midahalo uku za kwetu zina wasanii wanaimba "...yani katoto kachafu kama bata".
Shida wala sio kukosoa mkuu,hata huyo unayemwita kilaza ana mantiki ya kufanya hivyo.ukisema mtu anakosea at least show them how it's supposed to be done.sio unaishia kusema tu hii rangi mbaya,onyesha nzuri ni ipi?
Watanzania walio wengi ni wajuaji wakukosoa tu,umetoa mfano wa kampeni hapo.Mimi napenda hata ambao waliokuwa wanamkosoa Magufuli Kisha wakasema wao watafanyaje tofauti na yeye na hivyo ndo inatakiwa kuwa.Pengine ni kweli kipindi kina changamoto lakini bado hazifanyi watu wakasifia uzuri uliopo,Kisha wakosoaji muje na mawazo mbadala ya kujenga.
 
Shida wala sio kukosoa mkuu,hata huyo unayemwita kilaza ana mantiki ya kufanya hivyo.ukisema mtu anakosea at least show them how it's supposed to be done.sio unaishia kusema tu hii rangi mbaya,onyesha nzuri ni ipi?
Watanzania walio wengi ni wajuaji wakukosoa tu,umetoa mfano wa kampeni hapo.Mimi napenda hata ambao waliokuwa wanamkosoa Magufuli Kisha wakasema wao watafanyaje tofauti na yeye na hivyo ndo inatakiwa kuwa.Pengine ni kweli kipindi kina changamoto lakini bado hazifanyi watu wakasifia uzuri uliopo,Kisha wakosoaji muje na mawazo mbadala ya kujenga.
Hujasoma comment yangu ya mwanzo umesoma reply. Mtu akikwambia nguo uliyovaa ni chafu, unataka tena akupe pendekezo la kuvaa iliyo safi?

Nimesema habari zake karibia zote ni conspiracy theories, hazina evidence na zina uongo mwingi.
Kinyume na hapo ni kutoa facts, kuwa na evidence na kutoa habari za kweli.

Na mimi sikumkosoa wala kumpangia, hata akiamua kuwa DJ ni yeye. Mimi nilichofanya ni kuelezea ninachokiona na kusikia kwenye kipindi chake.
 
Mimi nikikaa na watu ninaowaamini kabisa tukafanya fact checking, the story book ni habari za kuwaambia laymen na watu wasio na elimu, wasiojua kimombo wala hawana exposure na wanaopenda kutafuniwa.

Habari hizo zimejaa conspiracy theories tupu! Hakuna credible source ya habari zake wala evidence. Tena habari ziko very interesting lakini zimeungwa na viungo vya uongo mkuu.

Leo hii ukifa ghafla chumbani kwako daktari akapima na kusema umekufa kwa heart attack ila majirani Waswahili wakasema umerogwa na mme wa mchepuko wako, The Story Book wakija watachukua narrative ya pili kwenye story.
Huwezi mkuta mtu na elimu yake anasikiliza hicho kipindi. Ni wabeba zege, mamantilie, bodaboda, etc ambao reasoning capacity ndogo.
Daah! Unajikuta sanaa mbn jamaa huwa anaelezea vi2 kwa reference mbali mbali acha kujifanya mjuaji, sana
 
Utamu wa uongo, ukiambiwa uongo unaona utamu. The story book ingekuwa ni series za movie ni sahihi ila sasa, chombo cha habari kilichosajiriwa kinatangaza uongo bila credible source ili kuleta "utamu" kwa watazamaji. Huu ujinga unapatikana Afrika Mashariki tu!
We jamaa ni choko sana , kwani hiyo ni taarifa ya habari? Hizo ni story ambazo zipo kwenye vitabu tofauti tofauti na sometime vinapishana maelezo na jamaa huwa anatoa na reference
 
We jamaa ni choko sana , kwani hiyo ni taarifa ya habari? Hizo ni story ambazo zipo kwenye vitabu tofauti tofauti na sometime vinapishana maelezo na jamaa huwa anatoa na reference
Sasa mambo gani ya kuja kujitangaza hapa kama unajiuza. Madangulo hujui yalipo?
 
Back
Top Bottom