Jamaal April kaipeleka The Storybook Next Level

Jamaal April kaipeleka The Storybook Next Level

Joined
Oct 16, 2020
Posts
92
Reaction score
196
Kwa wapenzi wengi wa story book nadha mlighadhabika sana kipind,Kijana mwenye Sauti ya dhahabu Mtiga Abdallah alipofutwa kazi Wasafi Fm.
Mimi nilkua moja ya watu nilio mind sana na nilikua nampinga sana msimuliaji mpya Jamaa April maarufu kama Proffesor.Ila leo namuomba radhi hyu kijana maana ameipeleka stoey book nezt level.Amekua akisimulia vitu ambavyo watu wengi hawakuwahi hata kuvickia au kujua kama vinawezekana.Story zake zinaelimisha,kufurahisha na kusisimua infact jamaa ana content ambazo ni masterpiece.

Au wenzangu nyie mnamuonaje proffesor.Kwngu mimi kwa sasa Jamaal is the best Story teller nnae mfahamu
 
Kwa wapenzi wengi wa story book nadha mlighadhabika sana kipind,Kijana mwenye Sauti ya dhahabu Mtiga Abdallah alipofutwa kazi Wasafi Fm.
Mimi nilkua moja ya watu nilio mind sana na nilikua nampinga sana msimuliaji mpya Jamaa April maarufu kama Proffesor.Ila leo namuomba radhi hyu kijana maana ameipeleka stoey book nezt level.Amekua akisimulia vitu ambavyo watu wengi hawakuwahi hata kuvickia au kujua kama vinawezekana.Story zake zinaelimisha,kufurahisha na kusisimua infact jamaa ana content ambazo ni masterpiece.

Au wenzangu nyie mnamuonaje proffesor.Kwngu mimi kwa sasa Jamaal is the best Story teller nnae mfahamu
Huwa anafanya citation au janja janja tu ?
 
Mimi nikikaa na watu ninaowaamini kabisa tukafanya fact checking, the story book ni habari za kuwaambia laymen na watu wasio na elimu, wasiojua kimombo wala hawana exposure na wanaopenda kutafuniwa.

Habari hizo zimejaa conspiracy theories tupu! Hakuna credible source ya habari zake wala evidence. Tena habari ziko very interesting lakini zimeungwa na viungo vya uongo mkuu.

Leo hii ukifa ghafla chumbani kwako daktari akapima na kusema umekufa kwa heart attack ila majirani Waswahili wakasema umerogwa na mme wa mchepuko wako, The Story Book wakija watachukua narrative ya pili kwenye story.
Huwezi mkuta mtu na elimu yake anasikiliza hicho kipindi. Ni wabeba zege, mamantilie, bodaboda, etc ambao reasoning capacity ndogo.
 
Mimi nikikaa na watu ninaowaamini kabisa tukafanya fact checking, the story book ni habari za kuwaambia laymen na watu wasio na elimu, wasiojua kimombo wala hawana exposure na wanaopenda kutafuniwa.

Habari hizo zimejaa conspiracy theories tupu! Hakuna credible source ya habari zake wala evidence. Tena habari ziko very interesting lakini zimeungwa na viungo vya uongo mkuu.

Leo hii ukifa ghafla chumbani kwako daktari akapima na kusema umekufa kwa heart attack ila majirani Waswahili wakasema umerogwa na mme wa mchepuko wako, The Story Book wakija watachukua narrative ya pili kwenye story.
Huwezi mkuta mtu na elimu yake anasikiliza hicho kipindi. Ni wabeba zege, mamantilie, bodaboda, etc ambao reasoning capacity ndogo.
Na hao ndio wengi mtaani na technically yeye ndio anaewatafuta jwa hiyo ameanikiwa saaan kuongeza views zake huko YouTube.

Tofauti na nyie wasomi mko too judgemental.
 
Mimi nikikaa na watu ninaowaamini kabisa tukafanya fact checking, the story book ni habari za kuwaambia laymen na watu wasio na elimu, wasiojua kimombo wala hawana exposure na wanaopenda kutafuniwa.

Habari hizo zimejaa conspiracy theories tupu! Hakuna credible source ya habari zake wala evidence. Tena habari ziko very interesting lakini zimeungwa na viungo vya uongo mkuu.

Leo hii ukifa ghafla chumbani kwako daktari akapima na kusema umekufa kwa heart attack ila majirani Waswahili wakasema umerogwa na mme wa mchepuko wako, The Story Book wakija watachukua narrative ya pili kwenye story.
Huwezi mkuta mtu na elimu yake anasikiliza hicho kipindi. Ni wabeba zege, mamantilie, bodaboda, etc ambao reasoning capacity ndogo.
umetema ukweli mtupu....ila wabeba zege wanavyoisifia sasa unaweza ukadhan jamaa ni Einstein
 
Na hao ndio wengi mtaani na technically yeye ndio anaewatafuta jwa hiyo ameanikiwa saaan kuongeza views zake huko YouTube.

Tofauti na nyie wasomi mko too judgemental.
Yaani ni sawa na malaya aliyejenga ghorofa.
Tuna'appreciate juhudi zake mpaka kujenga ghorofa lakin ukwel unabaki pale pale kazi yake ni ya kifala.
 
Mimi nikikaa na watu ninaowaamini kabisa tukafanya fact checking, the story book ni habari za kuwaambia laymen na watu wasio na elimu, wasiojua kimombo wala hawana exposure na wanaopenda kutafuniwa.

Habari hizo zimejaa conspiracy theories tupu! Hakuna credible source ya habari zake wala evidence. Tena habari ziko very interesting lakini zimeungwa na viungo vya uongo mkuu.

Leo hii ukifa ghafla chumbani kwako daktari akapima na kusema umekufa kwa heart attack ila majirani Waswahili wakasema umerogwa na mme wa mchepuko wako, The Story Book wakija watachukua narrative ya pili kwenye story.
Huwezi mkuta mtu na elimu yake anasikiliza hicho kipindi. Ni wabeba zege, mamantilie, bodaboda, etc ambao reasoning capacity ndogo.
Na hicho ndo kinaleta utamu wa storybokk
 
Na hicho ndo kinaleta utamu wa storybokk
Bwana bwana kuna siku alianza vizuri kuelezea historia ya uchawi.Tena kwenye intro akasema kazima aelezee chimbuko la uchawi na kuweka ushahidi wake..nlipoangalia Clip ni ya kama nusu saa nzima
Nikajua jamaa haachi maswali..yani lazima aanze kwenye mzizi uchawi au hii phenomenon ya uchawi ilianza lini hapa duniani and what are the earliest sources that depict it.
nikajua ataingia hata kwenye story za the book of Enoch au Veda za wahindu zilizoandikwa miaka 5000BCE huko
ila mpaka clip inaisha hamna cha maana alichoongelea...yaani nusu saa nzima anaelezea stori moja tu kuhusu heresay na soga za mtaani kuhusu mmama aliyesemekana ni mchawi miaka ya juzi juzi tu 1800's
 
Na hao ndio wengi mtaani na technically yeye ndio anaewatafuta jwa hiyo ameanikiwa saaan kuongeza views zake huko YouTube.

Tofauti na nyie wasomi mko too judgemental.
Kusema ukweli kunahitaji usomi gani?
Yani mtu akisema facts na habari za uhakika tiyari unaona ni msomi sana. Kwamba wasio wasomi wanastahili kuwa waongo?
 
Na hicho ndo kinaleta utamu wa storybokk
Utamu wa uongo, ukiambiwa uongo unaona utamu. The story book ingekuwa ni series za movie ni sahihi ila sasa, chombo cha habari kilichosajiriwa kinatangaza uongo bila credible source ili kuleta "utamu" kwa watazamaji. Huu ujinga unapatikana Afrika Mashariki tu!
 
Mtanzania mjuaji ni mtu ambaye anaweza sema jinsi unavyokosea,wapi unaenda mrana kwa majigambo sana.kisha asikwambie vipi unaweza fanya sahihi ama umwambie unaonaje ukafanya wewe tujifunze zaidi(happy ndo utajua jinsi gani tuna majungu ya wazi kabisa) Mara nyingi hawajui hata pa kuanzia.ni Kama tumezaliwa kuponda ili tumuumize anayefanya Jambo na sio kujenga.
 
Mimi nikikaa na watu ninaowaamini kabisa tukafanya fact checking, the story book ni habari za kuwaambia laymen na watu wasio na elimu, wasiojua kimombo wala hawana exposure na wanaopenda kutafuniwa.

Habari hizo zimejaa conspiracy theories tupu! Hakuna credible source ya habari zake wala evidence. Tena habari ziko very interesting lakini zimeungwa na viungo vya uongo mkuu.

Leo hii ukifa ghafla chumbani kwako daktari akapima na kusema umekufa kwa heart attack ila majirani Waswahili wakasema umerogwa na mme wa mchepuko wako, The Story Book wakija watachukua narrative ya pili kwenye story.
Huwezi mkuta mtu na elimu yake anasikiliza hicho kipindi. Ni wabeba zege, mamantilie, bodaboda, etc ambao reasoning capacity ndogo.
Sasa hao uliowasema ndio wasikilizaji wa redio bro.So kama lengo nikupata wasikilizaji wengi basi amefanikiwa katika hilo.Na kuhusu evidence mbna story zake zote zina evidence.Kama hzo evidence ni conspiracy theory cdhani kama kuna mtu hapa dunian ambae c muhanga wa conspiracy theory.
 
Back
Top Bottom