Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,365
- 12,351
Kumbwa!sisi ni marafiki wakubwa akikubwa yeye nimekubwa mimi mkuuu tupe ushauri
yote kayaleta Kovid Kumi na Tisa... kasababisha shule zimefungwa.... Form II wanachezea Pc za wazazi wao
Huu ujinga usirudie tena utapigwa sana za uso, pesa na baada ya kuja na si vinginevyoIgweeeeeeeeee,
Ndugu zangu kuna jamaaa angu mmoja kaliwa elfu 25000 na msichana alimuomba asuke ili waonane,
Msichana alitumiwa hio pesa alisuka baada ya kusuka jamaaa akampanga msichana huyu aje ili ale na mzigo na kumuahidi ahadi hewa kuwa akija atampa pesa ya matumizi kwani anatarajia kusafiri za kumsaidia huyo msichana kwani atakaaa two weeks, msichana akamjibu kuwa yuko period hivo asitafute lodge atafute sehem ingine to waongeee ili aachiwe na mkwanja mwingine.
Ndugu zangu jamaaa akapaona atapigwa hela tena akamwambia tutaonana nikirudi .
Jamaaa amekaaa kama siku 7 akamwambia msichana nimerudi nimekuletea zawadi msichana akawa anamjibu sitaki zawadi kwa nyodo badae msichana huyo akamwambia niache
Wakuuu jamaaa ananiuliza atumie mbinu gani amle au ampigie arudishe pesa zake
Nimekupenda25 analalamika seriously.
Mwanaume haliilii njaa akiliwa anapata hasira ya kutafuta zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanaIgweeeeeeeeee,
Ndugu zangu kuna jamaaa angu mmoja kaliwa elfu 25000 na msichana alimuomba asuke ili waonane,
Msichana alitumiwa hio pesa alisuka baada ya kusuka jamaaa akampanga msichana huyu aje ili ale na mzigo na kumuahidi ahadi hewa kuwa akija atampa pesa ya matumizi kwani anatarajia kusafiri za kumsaidia huyo msichana kwani atakaaa two weeks, msichana akamjibu kuwa yuko period hivo asitafute lodge atafute sehem ingine to waongeee ili aachiwe na mkwanja mwingine.
Ndugu zangu jamaaa akapaona atapigwa hela tena akamwambia tutaonana nikirudi .
Jamaaa amekaaa kama siku 7 akamwambia msichana nimerudi nimekuletea zawadi msichana akawa anamjibu sitaki zawadi kwa nyodo badae msichana huyo akamwambia niache
Wakuuu jamaaa ananiuliza atumie mbinu gani amle au ampigie arudishe pesa zake
Ukahaba ni sifa huko DsmKwanini unamtumia hela ya kusuka mwanamke ambae sio wako?
Hata nauli kama Hana achana nae..
Wanawake njaa njaa wengi Wana ukahaba WA aina fulani
Uyo jamaa ni ww mpaka kushukuru.nakushukuru sana kwa ushauri ndugu
Hahahyote kayaleta Kovid Kumi na Tisa... kasababisha shule zimefungwa.... Form II wanachezea Pc za wazazi wao