Mwagito84
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 235
- 705
Ndugu yangu mmoja ambaye amepata kuhudu katika bank kwa miaka karibu 10 hivi nilikiwa napiga naye stori za hapa na pale. Katika mazungumzo yetu mimi nilichombeza kwamba kiukweli binafsi natamani kuwa na mke banker kwani bank zinawabana sana watumishi wao kiasi kwamba kuibiwa mke ni kazi sana. Majibu aliyonipa niliishiwa pozi kabisa.
Akadai.....ndugu usijidanganye. Akaniambia kuna siri kubwa ndani ya toilet zao zile, usije ona TEMPORARY CLOSED ukafikiri wako tu LUNCH la hasha. Unaambiwa mabanker wengi wanamalizana wao kwa wao makazini. Kinachotokea wanaandikiana sms kama vile Tangulia toi nakukuta.......basi tena kuko mtu anainamishwa anapigwa kimoja cha adhuhuri mwanana mchezo umeisha. Nyingine Ile Lunch time kuna almost 40 min mnaondoka kwa zamu bila kuwaacha wateja. Wanazengo wanawapitia hapo chap na ndinga hadi Hotel ya jirani, anapigwa mashine kisha anarudishwa Jioni mumewe anampitia haoooooh Home. We karaga baho
Sent using Jamii Forums mobile app
Akadai.....ndugu usijidanganye. Akaniambia kuna siri kubwa ndani ya toilet zao zile, usije ona TEMPORARY CLOSED ukafikiri wako tu LUNCH la hasha. Unaambiwa mabanker wengi wanamalizana wao kwa wao makazini. Kinachotokea wanaandikiana sms kama vile Tangulia toi nakukuta.......basi tena kuko mtu anainamishwa anapigwa kimoja cha adhuhuri mwanana mchezo umeisha. Nyingine Ile Lunch time kuna almost 40 min mnaondoka kwa zamu bila kuwaacha wateja. Wanazengo wanawapitia hapo chap na ndinga hadi Hotel ya jirani, anapigwa mashine kisha anarudishwa Jioni mumewe anampitia haoooooh Home. We karaga baho
Sent using Jamii Forums mobile app