hana cha maana cha kufikiri kuleta hali ya maisha bora kwa kila mtanzania si kwa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya wala ari zadi, nguvu zaidi na kasi zaidi. Hivyo walau awe Vasco da gama ili aje akumbukwe walau kwa hilo maana amelifanya kwa ari, nguvu na kasi mpya na sasa ameongeza ari, nguvu na kasi zaidi kabla hajamaliza kipindi chake cha urahisi