wewe kaka nafikiri una kaushamba fulani hivi.
unafikiri kufaulu mitihani vizuri ndio kujua kazi. umeniudhi kwa maneno yako hapo juu mimi nitakuita hujaelemika na ni mshamba vile.
hata kama simpendi huyu mwanasheria mkuu lakini hapo juu umebore sana. maprofesa wote tunawajua mbona wanagaragazwa kwa kazi ni akina mrema?
usomi wenu huo umeua nchi kwasababu mnafikiri kusoma maanake ni kufaulu mitihani