Elections 2010 Jaji Werema jiuzulu, umevunja katiba


Wacha kupiga kelele, labda utuambie kama una urafiki na werema.

Alianza kwa kuchakachua sheria ya gharama za uchaguzi lakini Dr. Slaa akamnasa mara moja na sheria ikafanyiwa ammendment hata kabla haijaanza kutumika, we bado tu huoni kwamba hiyo pass grade inaweza ku-reflect uwezo wa huyu jaji? ingawa si wote wanaopata pass vyuoni wanakuwa vilaza hata kazini lakini jaji werema ameonyesha udhaifu mkubwa tangu mwanzo.
Binafsi nilipata kumfahamu mwanzoni mwa miaka ya 2000 akiwa board member wa chuo kimoja maarufu sana jijini dsm na ninaposikia hizi kauli zake sishangai kwakuwa tangu nimfahamu amekuwa mtu wa kuchemka tu, hata kwenye hiyo board alikuwa anaonekana mweupe tu.
 
Asante kwa kututaarifu ka GPA kake!Hawezi kukwepa maneno aliyotumia maana nae walimu wake walikuwa wakimwona useless kama wengi tumuonavyo!Hastahili kuwa AG lbda meneja wa kampeni wa TLP!
 
: Jaji Werema jiuzulu, umevunja katiba

Originally Posted by jyfranca

First of all, Attorney General Werema whom I studied with at university was not smart at all. I could not fathom how he got there, but any where there is lucky which goes to unqualified ones. He as Attorney general couldn't go in public and clashes press by saying that press complicated the polls by giving high anticipation of winning to Dr. slaa. It is preposterous, he as Attorney General should be neutral and let people air their views. I cannot disagree more with him, but in reality what I recall is that he graduated with pass grade , which is the lowest grade at UDSM

What!, Makubwa



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…