PostGE2025 Jaji Warioba: Sasa hivi kuna uoga mkubwa sana wa kusema ukweli

PostGE2025 Jaji Warioba: Sasa hivi kuna uoga mkubwa sana wa kusema ukweli

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Nchi ni yetu sote tuanze kuishi kwa wasiwasi kama digidigi uliona wap!, acha ukweli usemwe.
 
Akizungumza na Jamhuri TV Jaji Mstaafu Joseph Warioba ameeleza ni kwa namna gani siku hizi watu wamekuwa na uoga sana wa kusdma ukweli na wanaotoa hoja wanaitwa wapotoshaji.

"Lazima tuambiane ukweli, sasa hivi kuna uoga wa kusema ukweli, kuna uoga mkubwa sana wa kusema ukweli. Tena lugha za siku hizi ukitoa wazo au hoja kuna majibu ya mkato wanasema hiyo ni kupotosha" Jaji Warioba
 
Halafu kuna yule mzee wa hovyo, anajali tumbo lake tu🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Anyooshe tu maelezo! haya yote yamesababishwa na kuwapa madaraka makubwa watu wenye uwezo mdogo wa kuongoza wengine.
 
Anyooshe tu maelezo! haya yote yamesababishwa na kuwapa madaraka makubwa watu wenye uwezo mdogo wa kuongoza wengine.
20251223_144243.jpg
 
Pia machawa yapo mengi yanasifu na kuabudu bi chura na wahuni wake

Ukikosoa tu
Unapotezwa
Unabakwa
Unauwawa
The End!
 
Back
Top Bottom