nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
haa haa, mkuu hao wako wengi tena wengi wamejazana kwenye korido za lumumba!Kuna watu wengine hata hawajui tofauti ya CCM na serikali.
haa haa, mkuu hao wako wengi tena wengi wamejazana kwenye korido za lumumba!Kuna watu wengine hata hawajui tofauti ya CCM na serikali.
haa haa haa mbavu zangu mie!sijawahi pita mahali nikaambiwa hili jumba au kiwanja cha mzee warioba ila malecela kila kona mpaka nchi aliiuza uarabuni nyerere akamtimua.Mzee alikua na nyumba ndogo kila kona kisa madaraka
kwa hiyo hii katiba ni ya ccm ama ya wananchi?Haya maneno kuntu. Walimwambia Zitto na Kitila kuwa hawawezi kuwa nao ndani ya chama kama wanapingana na viongozi wao. Sasa iweje waje kumtetea warioba anayepingana na CCM? Huu kama sio unafiki ni nini?
Aende Ukawa aone kama kuna mtu atamsumbua tena.
Hvi kuna mjinga kama wewe MSALANI Lizaboni Simiyu Yetu Makonda Le Mutuz T2015CCM na vijana wote wa lumumba? Vijana msiokua na adabu inaonyesha hata hamuwajui baba zenu.
- Wananchi wanataka kuona anakuwa kiongozi wa Upinzani sio kupinga CCM akiwa na Serikali hiyo hiyo haipo Dunia nzima, Zitto na Kitila mliwafukuza kwa nini?
Le Mutuz
Mkuu,
Unaaibisha mabaharia.
Au ndiyo maana ulikimbia. Hivi ulikuwa seaman au officer kabla ya "kustaafu".
kwi kwi kwi! ina mana agwe bado anakula ugali wa shikamoo anazompa dada wa kina ambiere
kwani ndani ya ccm hamna upinzani soma nukuu hii'vita ni vikali lakini nitashinda' ,soma na hii 'kuna watu wanataka urais walipize kisasi' hawa ni viongozi wawili wakubwa wamesema.halafu unasema ccm salama- Warioba aende upinzani atafuta haki anazotaka, ndio maana mlimfukuza Zitto kakak mbona mnasahau mapema sana
Le Mutuz
- Wananchi wanataka kuona anakuwa kiongozi wa Upinzani sio kupinga CCM akiwa na Serikali hiyo hiyo haipo Dunia nzima, Zitto na Kitila mliwafukuza kwa nini?
Le Mutuz
Kwani Viongozi wastaafu wanahudumiwa na CCM au serikali?
Kwani Viongozi hawa wanahudumiwa na fedha zinazotokana na Ada za uanachama wa CCM kila mwaka au kodi za wananchi bila ya kujalisha itikadi zao za vyama?
Jukumu la kuwatunza na kuwalinda viongozi wakuu wa kitaifa pamoja na wale wastaafu ni jukumu la serikali bila ya kujalisha ni chama gani kipo madarakani. Ni suala ambalo lipo kwa Mujibu wa Sheria.
Vinginevyo Nenda Kasome political service retirement benefit act kisha urudi kutufafanulia ni wapi inataja "CCM".
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mzee Warioba kuna nafasi alinyimwa ndani ya CCM, mpaka leo hii hakipendi moyoni ingawa mdomoni anasema yeye ni ccm!!!
Binafsi namshauri atulie ale pension yake. Kazi aliyopewa imekwisha.