Jaji Mstaafu Robert Makaramba: Polisi waliompiga mwananchi mahakamani walitia unajisi eneo la Mahakama

Jaji Mstaafu Robert Makaramba: Polisi waliompiga mwananchi mahakamani walitia unajisi eneo la Mahakama

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
1758712658018.jpeg

Wakuu

Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu, Robert Makaramba atoa tafakari juu tukio la Polisi kuwapiga wafuasi wa CHADEMA katika Mahakama Kuu.

"Nilikuwa nashangaa Polisi ndiye anayepaswa kujua kwamba Mahakama imejaa au ni uongozi wa Mahakama ndiyo unapaswa kusema pamejaa, na kujaa maana yake ni nini?"

 
Polisi Wana-Stress Sana,Polisi Wengi Mishahara Yao Midogo Na Inaisha Kabla Ya Tar15,baada Ya Hapo Ni Wanakuwa Kama Mazuzu,anaweza Fanya Lolote Bila Uwoga,hata Raisi Akijichanganya Anakula Mtama Safi Tu.
 
Hakuna jeshi la polisi saivi ni majitu ya uvccm ndo yapo huko hata usalama wa taifa npo kumejaa majitu ya ccm tu hata huko mahakaman mahakimu na hata majaji n makada wa ccm sa unategemea nn.
 
Wakuu

Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu, Robert Makaramba atoa tafakari juu tukio la Polisi kuwapiga wafuasi wa CHADEMA katika Mahakama Kuu.

"Nilikuwa nashangaa Polisi ndiye anayepaswa kujua kwamba Mahakama imejaa au ni uongozi wa Mahakama ndiyo unapaswa kusema pamejaa, na kujaa maana yake ni nini?"

Hata hawa mashetani wa sasa wakizeeka nao wanajifanyaslaika.
 
Back
Top Bottom