Mungo Park
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 2,115
- 1,834
Wakili wa kujitegemea Jaji Mstaafu Hillary Mkate atazikwa leo mchana kwenye makaburi ya Kinondoni.
Amewahi kuwa mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania. RIP Judge Mkate..
------------------------------- Update.
Rais Kikwete leo aliongoza waombolezaji nyumbani kwa marehemu.Wengine waliohudhuria leo ni Jaji Mkuu,Jaji Kiongozi,Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Majaji,Mawakili na wananchi wengine.
Amewahi kuwa mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania. RIP Judge Mkate..
------------------------------- Update.
Rais Kikwete leo aliongoza waombolezaji nyumbani kwa marehemu.Wengine waliohudhuria leo ni Jaji Mkuu,Jaji Kiongozi,Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Majaji,Mawakili na wananchi wengine.