Jaji Mstaafu Hillary Mkate kuzikwa leo

Jaji Mstaafu Hillary Mkate kuzikwa leo

Mungo Park

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2010
Posts
2,115
Reaction score
1,834
Wakili wa kujitegemea Jaji Mstaafu Hillary Mkate atazikwa leo mchana kwenye makaburi ya Kinondoni.
Amewahi kuwa mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania. RIP Judge Mkate..
------------------------------- Update.
Rais Kikwete leo aliongoza waombolezaji nyumbani kwa marehemu.Wengine waliohudhuria leo ni Jaji Mkuu,Jaji Kiongozi,Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Majaji,Mawakili na wananchi wengine.
 
Back
Top Bottom