Wacha 5 bora hakujadiliwa kabisa!!!
Kwa taarifa yenu huyo ndo waziri mkuu wa serikali ijayo amini nakwambia
Kwa niaba yake maamuzi ya chama yaheshimiwe demokrasia imechukua mkondo wake.Nataka nisikie kauli yake...
Kwako MH.Jaji najua ulishauriwa vibaya kwenda mbiombio kuchukua form ya kugombea urais wa Tanzania, ila ulisahau unagombea kupitia chama kilekile kilcho kataa katiba yenu mlioiandaa! ulikatwa mapema hata 5 bora huku iona! japo ulikuja na sera ya chema cha jiuza! imekua chema cha jiinamia kwa aibu na huzuni! pole jaji hiyo ndo ccm naona hukupima kina cha maji umeenda mzima mzima ukazama!
Kwa taarifa yenu huyo ndo waziri mkuu wa serikali ijayo amini nakwambia
Kwako MH.Jaji najua ulishauriwa vibaya kwenda mbiombio kuchukua form ya kugombea urais wa Tanzania, ila ulisahau unagombea kupitia chama kilekile kilcho kataa katiba yenu mlioiandaa! ulikatwa mapema hata 5 bora huku iona! japo ulikuja na sera ya chema cha jiuza! imekua chema cha jiinamia kwa aibu na huzuni! pole jaji hiyo ndo ccm naona hukupima kina cha maji umeenda mzima mzima ukazama!
Kwa niaba yake maamuzi ya chama yaheshimiwe demokrasia imechukua mkondo wake.