Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Moja ya taarifa ktk gazeti la mwananchi la leo trh 19/07/2012 inaonyesha kuwa aliekuwa katibu mkuu wa wizra ya nishati na madini David Jairo atafikishwa mahakamani.
Habari zaidi soma gazeti husika.
Habari zaidi soma gazeti husika.