Bull huo si utamaduni wa Afrika,ni wa kizulu!Karne ya 21 ni out of date.Ina maana huyu ni sex addict ,kila siku ya Mungu lazame apate sex!Nchi ina matatizo mengi,AIDS,poverty,Unemployement ,Power Cuts etc.
Wazulu ni backward,wanahusudu kurape wanawake,nafikiri kabila hilo linaongoza kurape wanawake duniani.
Huu ni utamaduni wakiafrika kuowa wake wengi, kuanzia machifu wetu mpaka mtu wa kawaida
Tunaukimbia tu baada ya kuambiwa na wazungu kuwa ni utamaduni mbaya eti umepitwa na wakati, Kwasababu hatuwezi kutetea tamaduni zetu tunapo pambana na wazungu, ni makabila machache afrika ndio wameamua kudumisha tamaduni za kiafrika ambao ni pamoja ya kuowa wanawake wengi.
Wakati umefika waafrika tujiamini na mambo yetu, vinginevyo mtaletewa tamaduni za ajabu kama ushoga n.k ndio mtaona ni maendeleo ya 21 century
Wake up guys!!!!