Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,819
- Thread starter
- #41
Uuuwidada yetu msimamo F
Uuuwidada yetu msimamo F
We Mungu?Lakini haendi mbinguni
HahahahahhaKuna muda saa mbovu huwa inasema ukweli
Uuuwi kirupepo ya mitombo ndo inamuhusu
Na yeye sasa kaokokaMpaka Jiwe akiokoka ndio itakuwa habari ya kusisimua.
Uuuwi
Mkuu wala sipaniki ila hawa wasanii bhana mpaka tushuhudie sisi sio wao watushuhudie. Chidumule, makassy, chakachaka hao sawa tumewaona!! Si haqa wabeba misalaba mikuuuuubwa shingoniWe Acha kupaniki Acha watoto wa watu waokoke
AmenHaleluyah
Mkuu samahani naomba unitumie hyo picha kwenye avatar yako na zingine za namna hiyo ni pm..itapendeza, ubarikiwe sanaRUM. :10:13
kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
Namtakia maisha mema ya wokovu kwa maana amechagua fungu lililo jema
hahahaha kumbe na Makassy Junior aliokokaga? uuuwi long time sijamsikiaMkuu wala sipaniki ila hawa wasanii bhana mpaka tushuhudie sisi sio wao watushuhudie. Chidumule, makassy, chakachaka hao sawa tumewaona!! Si haqa wabeba misalaba mikuuuuubwa shingoni
uuuuwi sheedah!Halellujah one god,glory to god..... Money Penny nimemuona mtumisha mwenzako ana Tattoo ya nyota.
hahahahaMkuu samahani naomba unitumie hyo picha kwenye avatar yako na zingine za namna hiyo ni pm..itapendeza, ubarikiwe sana
Nakupm mkuu nilikuwa sijaiona hii, ubarikiwe piaMkuu samahani naomba unitumie hyo picha kwenye avatar yako na zingine za namna hiyo ni pm..itapendeza, ubarikiwe sana
duNakupm mkuu nilikuwa sijaiona hii, ubarikiwe pia
sawaKila kitu cha wezekana
Sawa mkuu..pamoja katika utumeNakupm mkuu nilikuwa sijaiona hii, ubarikiwe pia
lolSawa mkuu..pamoja katika utume