BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Embu tuwe wakweli jamani
sio kwamba nimekuja kuwatetea hawa mabinti ila naona ni wakati na jukwa amaalum kuwafundisha wanandoa jinsi ya kuishi nao..kuna wakati unakuta madada wanafanya kazi kweli wakifika jumapili wanaomba kuwaona ndugu zao..mama anakuwa kishambenga umekuja kuangalia ndugu ehhh utafungasha
jamani ifike sasa tukue jamani;embu fikirieni wao SI BIN -ADAM nao wanaitakji kuguswa hata kama anakuheshimu kwa kutokuletea hapo ndani ukiwa aupo lakini ukweli ni kwamba nyumba nyingi mkiondoka hboy wa jirani wanakuja kuwatunza hgrl wenu humo ndani na kama unamwachia chumba afanye usafi wanasemaga ngoja tuonje ladha anayopata na mumewe humo ndani..so unakuta anakula uroda kwenye kitanda chako
mi naomba leo tuwe waungwana mkiona wanaomba kwenda kwa jirani si lazima aseme kwenda kwa bwana wake jamani nimeona hili maana kumekuwa na msala wa makelele ya hgirl kumiliki nyumba za wanandoa lakini ukiangalia nyingi mmezianza wenyewe na wao wanafanya kuzimaliza
mue na hekima jamani hawa ni binadamu embu angalia
j3-jpili
tar 1-31
january-dec
loh mwaka umeisha huo we unataka awe nyumban tu muda wote mumeo ataacha kukusaidia????????embu ombeni hekima jamani ukiona amekuheshimu na kukuomba atoke hata kwa mwezi mara mbili sio mbaya lakini wengine hata outing mnataka mtoke nae mbona mabwana zenu amwaachi nao ???
Tukue hili naomba wapenzi aiiitaji kunywa valueeeeeeeee kuweza kumaliza matatizo ya madada wa nyumbani ni akaili na hekima
pre friday njema
sio kwamba nimekuja kuwatetea hawa mabinti ila naona ni wakati na jukwa amaalum kuwafundisha wanandoa jinsi ya kuishi nao..kuna wakati unakuta madada wanafanya kazi kweli wakifika jumapili wanaomba kuwaona ndugu zao..mama anakuwa kishambenga umekuja kuangalia ndugu ehhh utafungasha
jamani ifike sasa tukue jamani;embu fikirieni wao SI BIN -ADAM nao wanaitakji kuguswa hata kama anakuheshimu kwa kutokuletea hapo ndani ukiwa aupo lakini ukweli ni kwamba nyumba nyingi mkiondoka hboy wa jirani wanakuja kuwatunza hgrl wenu humo ndani na kama unamwachia chumba afanye usafi wanasemaga ngoja tuonje ladha anayopata na mumewe humo ndani..so unakuta anakula uroda kwenye kitanda chako
mi naomba leo tuwe waungwana mkiona wanaomba kwenda kwa jirani si lazima aseme kwenda kwa bwana wake jamani nimeona hili maana kumekuwa na msala wa makelele ya hgirl kumiliki nyumba za wanandoa lakini ukiangalia nyingi mmezianza wenyewe na wao wanafanya kuzimaliza
mue na hekima jamani hawa ni binadamu embu angalia
j3-jpili
tar 1-31
january-dec
loh mwaka umeisha huo we unataka awe nyumban tu muda wote mumeo ataacha kukusaidia????????embu ombeni hekima jamani ukiona amekuheshimu na kukuomba atoke hata kwa mwezi mara mbili sio mbaya lakini wengine hata outing mnataka mtoke nae mbona mabwana zenu amwaachi nao ???
Tukue hili naomba wapenzi aiiitaji kunywa valueeeeeeeee kuweza kumaliza matatizo ya madada wa nyumbani ni akaili na hekima
pre friday njema