J3-JPili, tar1-31, Jan-Dec yuko ndani tu; utaacha kumegewa? Badilikeni jamani

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Embu tuwe wakweli jamani
sio kwamba nimekuja kuwatetea hawa mabinti ila naona ni wakati na jukwa amaalum kuwafundisha wanandoa jinsi ya kuishi nao..kuna wakati unakuta madada wanafanya kazi kweli wakifika jumapili wanaomba kuwaona ndugu zao..mama anakuwa kishambenga umekuja kuangalia ndugu ehhh utafungasha

jamani ifike sasa tukue jamani;embu fikirieni wao SI BIN -ADAM nao wanaitakji kuguswa hata kama anakuheshimu kwa kutokuletea hapo ndani ukiwa aupo lakini ukweli ni kwamba nyumba nyingi mkiondoka hboy wa jirani wanakuja kuwatunza hgrl wenu humo ndani na kama unamwachia chumba afanye usafi wanasemaga ngoja tuonje ladha anayopata na mumewe humo ndani..so unakuta anakula uroda kwenye kitanda chako

mi naomba leo tuwe waungwana mkiona wanaomba kwenda kwa jirani si lazima aseme kwenda kwa bwana wake jamani nimeona hili maana kumekuwa na msala wa makelele ya hgirl kumiliki nyumba za wanandoa lakini ukiangalia nyingi mmezianza wenyewe na wao wanafanya kuzimaliza


mue na hekima jamani hawa ni binadamu embu angalia
j3-jpili
tar 1-31
january-dec
loh mwaka umeisha huo we unataka awe nyumban tu muda wote mumeo ataacha kukusaidia????????embu ombeni hekima jamani ukiona amekuheshimu na kukuomba atoke hata kwa mwezi mara mbili sio mbaya lakini wengine hata outing mnataka mtoke nae mbona mabwana zenu amwaachi nao ???
Tukue hili naomba wapenzi aiiitaji kunywa valueeeeeeeee kuweza kumaliza matatizo ya madada wa nyumbani ni akaili na hekima

pre friday njema
 
Pole sana kwa yaliyokukuta ndugu.
Lakini ndiyo dunia hiyo na ndiyo ukubwa huo, na uzuri wake ni kuwa umejifunza kitu na kuamua kujirekebisha vizuri zaidi umejitolea kuwatahadharisha wenzako.
 
Ni hatari sana kumfungia hausi gel hasa unapokuwa na watoto wa kiume, atawapitia wote kwa mstari.

Jpili lazima akatembee labda awe mgonjwa, tena peke yake hata kama ni kwa kumfukuza ila tu awahi kurudi.
 
Akipata mimba aje kwako!? cjawahi kuona maadili yakiivyo! na je km yy unampatia ruhusa ya kwa jamaa ake, atawafundsha nn watto wako wakati yupo njian anashikwashikwa!? pevuka!
 
Embu tuwe wakweli jamani
sio kwamba nimekuja kuwatetea hawa mabinti ila naona ni wakati na jukwa amaalum kuwafundisha wanandoa jinsi ya kuishi nao..kuna wakati unakuta madada wanafanya kazi kweli wakifika jumapili wanaomba kuwaona ndugu zao..mama anakuwa kishambenga umekuja kuangalia ndugu ehhh utafungasha

jamani ifike sasa tukue jamani;embu fikirieni wao SI BIN -ADAM nao wanaitakji kuguswa hata kama anakuheshimu kwa kutokuletea hapo ndani ukiwa aupo lakini ukweli ni kwamba nyumba nyingi mkiondoka hboy wa jirani wanakuja kuwatunza hgrl wenu humo ndani na kama unamwachia chumba afanye usafi wanasemaga ngoja tuonje ladha anayopata na mumewe humo ndani..so unakuta anakula uroda kwenye kitanda chako

mi naomba leo tuwe waungwana mkiona wanaomba kwenda kwa jirani si lazima aseme kwenda kwa bwana wake jamani nimeona hili maana kumekuwa na msala wa makelele ya hgirl kumiliki nyumba za wanandoa lakini ukiangalia nyingi mmezianza wenyewe na wao wanafanya kuzimaliza


mue na hekima jamani hawa ni binadamu embu angalia
j3-jpili
tar 1-31
january-dec
loh mwaka umeisha huo we unataka awe nyumban tu muda wote mumeo ataacha kukusaidia????????embu ombeni hekima jamani ukiona amekuheshimu na kukuomba atoke hata kwa mwezi mara mbili sio mbaya lakini wengine hata outing mnataka mtoke nae mbona mabwana zenu amwaachi nao ???
Tukue hili naomba wapenzi aiiitaji kunywa valueeeeeeeee kuweza kumaliza matatizo ya madada wa nyumbani ni akaili na hekima

pre friday njema

Kwakeli wa kwangu huwa nampa nafasi naye ya kwenda kutekenywa manake naye ni binadamu kama mimi na anahitaji sawa kama mimi.so huwa anapata ruhusa na akirudi anakuwa amechangamka na the following week kuanzia jtatu anakuwa kazi zinaenda vizuri.na pia najua boyfriend wake ila huwa namshauri sana amuulize huyo kijana anampango gani wa future?naongea naye sana hg na ananimbia mengi mno ambayo ningekuwa mnoko nisingeyapata.tuwe flexible jamani
 
Other people bwana, I dunno what has gotten in your minds.
Munaacha kusimamia maadili, na kutengeneza mazingira ya watu kutawala miili na hisia zao eti, mnashawishiana kuwasakizia ma-house girl wenu wakapigwe miti!
Is that the only best you can do?
Munashindwa na munashabikia kutokukuwa waadilifu juu ya miili na dhamira zenu, halafu mnakuwa mstari wa mbele kulaumu viongozi wasio waadilifu kwa mali za umma.
I swear on the graves of our legends, kwa mwendo huu na aina hii ya watu ushoga katika nchi haukwepeki, hicho ndiyo kifuatacho IT.......
 
Other people bwana, I dunno what has gotten in your minds.
Munaacha kusimamia maadili, na kutengeneza mazingira ya watu kutawala miili na hisia zao eti, mnashawishiana kuwasakizia ma-house girl wenu wakapigwe miti!
Is that the only best you can do?
Munashindwa na munashabikia kutokukuwa waadilifu juu ya miili na dhamira zenu, halafu mnakuwa mstari wa mbele kulaumu viongozi wasio waadilifu kwa mali za umma.
I swear on the graves of our legends, kwa mwendo huu na aina hii ya watu ushoga katika nchi haukwepeki, hicho ndiyo kifuatacho IT.......

Hg unamuelewesha kuwa atakapopatarafiki aangalie zaidi uwezekano wa kuwa mke mwema na sio jamvi la wageni kila mtu anakanyga na kupita.
 
Ni hatari sana kumfungia hausi gel hasa unapokuwa na watoto wa kiume, atawapitia wote kwa mstari.

Jpili lazima akatembee labda awe mgonjwa, tena peke yake hata kama ni kwa kumfukuza ila tu awahi kurudi.
Nakubalina na wewe mkuu manake hata yeye ni binadamu ana haki yake ya kupoata exposure kama wengine
 
Ni hatari sana kumfungia hausi gel hasa unapokuwa na watoto wa kiume, atawapitia wote kwa mstari.

Jpili lazima akatembee labda awe mgonjwa, tena peke yake hata kama ni kwa kumfukuza ila tu awahi kurudi.

mwisho anampitia baba mzazi kuna familia hapa kimara mwisho imeteketea yote wanaume wawili na baba sasa amebaki mama tu uwezi amini na katika wanaume kuna aliekuwa na miaka 17 kumbe demu alikuwa na ngoma akaanza kaka wa mwanzo kwishna akafwata dogo kwishna akafwata baba kumbe alikuwa anakula mzigo nae kwishna mama amebaki anaendelea na zile dawa zetu ni hatari sana sana wana madhara makubwa kama hutowapa kinga ya kijamii watakuumiza nakwambia.....
 
other people bwana, i dunno what has gotten in your minds.
Munaacha kusimamia maadili, na kutengeneza mazingira ya watu kutawala miili na hisia zao eti, mnashawishiana kuwasakizia ma-house girl wenu wakapigwe miti!
Is that the only best you can do?
Munashindwa na munashabikia kutokukuwa waadilifu juu ya miili na dhamira zenu, halafu mnakuwa mstari wa mbele kulaumu viongozi wasio waadilifu kwa mali za umma.
I swear on the graves of our legends, kwa mwendo huu na aina hii ya watu ushoga katika nchi haukwepeki, hicho ndiyo kifuatacho it.......

mkuu ushoga ni ngumu sana labda unianze wewe na uhakikishe nimefikia miaka 76 ndio unaweza kuniangusha else loh ushoga wa internert mpwa....
 
other people bwana, i dunno what has gotten in your minds.
Munaacha kusimamia maadili, na kutengeneza mazingira ya watu kutawala miili na hisia zao eti, mnashawishiana kuwasakizia ma-house girl wenu wakapigwe miti!
Is that the only best you can do?
Munashindwa na munashabikia kutokukuwa waadilifu juu ya miili na dhamira zenu, halafu mnakuwa mstari wa mbele kulaumu viongozi wasio waadilifu kwa mali za umma.
I swear on the graves of our legends, kwa mwendo huu na aina hii ya watu ushoga katika nchi haukwepeki, hicho ndiyo kifuatacho it.......


mkuu waongo wanafiki awatauona ufalme wa mbingu lipi bora kuwa muwazi ama kushabikia uporontoto
 
Mimi h/girl namchukulia kama mtoto wangu na mara nyingi wengi ni wadogo na akili zao hazijakomaa,hiyo habari sihiruhusu kwani wanangu wa kuwazaa sitawaruhusu.Ninachofanya ni kuwataadharisha na mapenzi kabla ya wakati na nimewaambia wawe huru kuniambia iwapo watalazimishwa na mwanaume.Na vijana ninaoishi nao nimewaambia wajiadhari na mabinti wa ndani kwangu jkwani likitokea la kutokea sitaangali wao ni ndugu sheria itachukua mkondo wake.
 
Other people bwana, I dunno what has gotten in your minds.
Munaacha kusimamia maadili, na kutengeneza mazingira ya watu kutawala miili na hisia zao eti, mnashawishiana kuwasakizia ma-house girl wenu wakapigwe miti!
Is that the only best you can do?
Munashindwa na munashabikia kutokukuwa waadilifu juu ya miili na dhamira zenu, halafu mnakuwa mstari wa mbele kulaumu viongozi wasio waadilifu kwa mali za umma.
I swear on the graves of our legends, kwa mwendo huu na aina hii ya watu ushoga katika nchi haukwepeki, hicho ndiyo kifuatacho IT.......

Kwani hiyo hausgirl aki pigwa miti na mpenzi wake kuna tatizo? Wewe mpenzi wako mlikuwa hampigani miti kabla hamjaoana(kama umeoa au kuolewa). Acha ukoloni,mti ni hitaji la kila aliyetimiza umri wa miaka 18 na zaidi. Mradi havunji sheria za nchi(asiwe changudoa!).Kwa nini umbague housegirl? Yeye si bin adam?.
 
ushaur wako haujajaa hekima japo umegusa swala muhm, nadhan ni bora umruhusu kuhudhuria sana kanisan au au kwaya
 
mkuu ushoga ni ngumu sana labda unianze wewe na uhakikishe nimefikia miaka 76 ndio unaweza kuniangusha else loh ushoga wa internert mpwa....
Kwa mtazamo utazamikao katika macho na kili dhahiri za waonao, hakika nakuambia katika mazingira ya mashinikizo ya kiuchumi, na kimihemuko, ushoga katika jamii hii ni inevitable.
Tumekuwa watu wepesi wa kukata tamaa na tunaodhani ngono ndiyo ngome salama iliyobaki.
Yaani mnajajaribu kunishawishi kuwa as human kind we are out of options kwa kiwango hicho? Leo house girl, kesho mtoto wako, naye utamshauri kufanya hayo hayo? Unadhani kwa kumtengenezea mazingira ya kufanya au kufanyiwa hivyo, tunamuandaa vp mtu huyu kwa malezi ya mtoto wako?
 
mkuu waongo wanafiki awatauona ufalme wa mbingu lipi bora kuwa muwazi ama kushabikia uporontoto
Kwa hiyo of all the options ngono ndiyo ngome salama pekee iliyobaki kwa mwanadamu kuitegemea?
Sisemi kwamba watu hatufanyi, lakini siyo katika kiwango cha kutoona njia nyingine mbadala na si kwa kiwango cha kusakizia wengine nao wajitumbukze huko.
 
Mimi h/girl namchukulia kama mtoto wangu na mara nyingi wengi ni wadogo na akili zao hazijakomaa,hiyo habari sihiruhusu kwani wanangu wa kuwazaa sitawaruhusu.Ninachofanya ni kuwataadharisha na mapenzi kabla ya wakati na nimewaambia wawe huru kuniambia iwapo watalazimishwa na mwanaume.Na vijana ninaoishi nao nimewaambia wajiadhari na mabinti wa ndani kwangu jkwani likitokea la kutokea sitaangali wao ni ndugu sheria itachukua mkondo wake.
Big up, na Huo ndiyo uwajibikaji, na siyo watu wanakimbia majukumu kwa kurahisisha eti ili uwe salama inabidi umruhusu akapigwe miti, ni heri kutoanzisha familia kuliko kuwa na uoga wa namna yao.
 
Back
Top Bottom