Nimeipenda kauli hii, tuitafakari.
"Maendeleo ya viwanda yanahusiana na aina ya viongozi tulionao, katika uchaguzi huu chagueni vizuri, kama tukichagua viongozi walio sehemu ya waliotengeneza matatizo haya hatutapata suluhu ya tatizo" - by j makamba.
Source mwananchi jumapili uk 6.
"Maendeleo ya viwanda yanahusiana na aina ya viongozi tulionao, katika uchaguzi huu chagueni vizuri, kama tukichagua viongozi walio sehemu ya waliotengeneza matatizo haya hatutapata suluhu ya tatizo" - by j makamba.
Source mwananchi jumapili uk 6.