Unajua alikuwa ICU sasa huko unakuwa huambiwi mambo ya hatari au habari za aina hiyo zinaweza kumsababishia sindikizo la moyo ,kuna kale ka ugonjwa kanachowapata mawaziri wabunge ,siju i wanauita shinikizo mfano wa hivyo ,so naamini alikuwa haambiwi ,unafikiri angeliambiwa wakati yuko kwenye Operation Ondoa Tezi angeponah ?
-Raisi wa inchi asijue kinachoendelea inchini mwake?- Haiwezekani.
»» (Nchini SIYO Inchini) nimepita tu mkuu
Chee sakakaNgoja tuone!
watu wana mihemko, tulizeni bolu bhana, atasema tu , nadhani wengi walitegemea akifika tu airport atangaze so and so, hawapo so and so itakua hivi, sidhani kama nchi inaendeshwa kwa staili ya kuzima moto, inahitaji utulivu na umakini mkubwa kuhandle situations kama hizo.