J.K "Yanayoendelea Dodoma: nayajua, nayafuatiliana natoa uamuzi mgumu punde tu, tulieni watanzania"

dalalitz

JF-Expert Member
Sep 6, 2013
3,325
1,848
J.K bila shaka anafahamu shauku na hamu ya watanzania kutaka kupata japo neno moja kutoka kwake.
Lakini, kwakuwa yeye ni mtendaji zaidi ameamua kuliweka hilo katika maneno machache tu.

[Mwisho wa hotuba yake pale uwanja wa ndege]

Raisi amesema: "Kuhusu yanayoendelea Dodoma sina ninalolijua".


Jiulize tu maswali haya:

1.Hajaulizwa swali lolote na mtu yeyote kwanini aseme hivyo?
-Raisi wa inchi asijue kinachoendelea inchini mwake?- Haiwezekani.

2. Alivyoiendesha hotuba yake.

Aliyoyaongea yote, Hata nusu saa ingetosha kuyaongea na akaondoka zake lakini badala yake alitumia muda mwingi kurudiaridia vitu vilevile na ile ni 'delaying tactic',
anazo hesabu zake na bila shaka ambazo zinaendana na kile kinachoendelea Dodoma.

3. Body language. facial expression&composure

Rais alikuwa ametulia, hana wasiwasi na asie na papara.
Hii inatuambia kuwa kila kitu kiko sawa,
Huwezi kuwa na janga linaloweza kupelekea kulazimika pengine hata kulivunja baraza la mawaziri lako,
Huna ukijuacho halafu ukabaki kuleta hadithi za madaktari wa marekani.

Nimeipenda taarifa yake hii,
Ila nikiri imeniharibia shauku yangu ya kutaka kuona ambacho kingejiri Dodoma.



 
Unajua alikuwa ICU sasa huko unakuwa huambiwi mambo ya hatari au habari za aina hiyo zinaweza kumsababishia sindikizo la moyo ,kuna kale ka ugonjwa kanachowapata mawaziri wabunge ,siju i wanauita shinikizo mfano wa hivyo ,so naamini alikuwa haambiwi ,unafikiri angeliambiwa wakati yuko kwenye Operation Ondoa Tezi angeponah ?
 
Huyu jamaa anawajua Watanzania na anajua namna ya kuwatalawa
 
Unajua alikuwa ICU sasa huko unakuwa huambiwi mambo ya hatari au habari za aina hiyo zinaweza kumsababishia sindikizo la moyo ,kuna kale ka ugonjwa kanachowapata mawaziri wabunge ,siju i wanauita shinikizo mfano wa hivyo ,so naamini alikuwa haambiwi ,unafikiri angeliambiwa wakati yuko kwenye Operation Ondoa Tezi angeponah ?

Mpwa wangu Elli hebu pita na huku.
 
Last edited by a moderator:
Kichwa cha habari: Yanayoendelea Dodoma nayajua.

Habari yenyewe: Yanayoendelea Dodoma siyajui.

Hivi hapa ndio elimu yetu ilipofikia?
 
mimi sishangai hotuba yake kuwa hivyo, alishatumia masaa kadhaa uwanja wa uhuru akizungumzia viatu vya Mandela
 
Ni lazima akina Wasira wamemdokeza kabla ya kukubaliana na maazimio yale.Nilisema hapa kwamba hawa CCM wanasubiri msimamo wa JK atakapotua saa tisa
 
nitamshangaa sana huyu jamaa kama hatawafukuza hawa wezi wa hela za umma tena kwa kutumia viroba, magunia na mabox.
 
Binafsi niliweka uzi specific kuhusu hiyo kauli ila thread yangu ikaungwanisha ni ile ya Chabruma ambayo ilijaribu kuiboresha kauli ya JK kwa kuiongezea maneno ili kumfichia aibu Kikwete.

Ninachokikumbuka ni kuwa alichomekea mwishoni kabsa mwa hotuba yake kwa kusema na hapa namnukuu "Siongelei ya Dodoma, siyajui vizuri, nikiyajua nitayaongelea".Hii kauli iliniboa sana.
 
Last edited by a moderator:
Kichwa cha habari: Yanayoendelea Dodoma nayajua.

Habari yenyewe: Yanayoendelea Dodoma siyajui.

Hivi hapa ndio elimu yetu ilipofikia?
Ubongo wako utakuwa unapitisha upepo na hivyo hujaelewa ufafanuzi.
 
watu wana mihemko, tulizeni bolu bhana, atasema tu , nadhani wengi walitegemea akifika tu airport atangaze so and so, hawapo so and so itakua hivi, sidhani kama nchi inaendeshwa kwa staili ya kuzima moto, inahitaji utulivu na umakini mkubwa kuhandle situations kama hizo.
 
watu wana mihemko, tulizeni bolu bhana, atasema tu , nadhani wengi walitegemea akifika tu airport atangaze so and so, hawapo so and so itakua hivi, sidhani kama nchi inaendeshwa kwa staili ya kuzima moto, inahitaji utulivu na umakini mkubwa kuhandle situations kama hizo.

Ni kweli ni lazima atulie aelezwe atafute ushauri na apate undani wa suala lenyewe ndipo afanye uamuzi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom