dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,332
- 1,862
J.K bila shaka anafahamu shauku na hamu ya watanzania kutaka kupata japo neno moja kutoka kwake.
Lakini, kwakuwa yeye ni mtendaji zaidi ameamua kuliweka hilo katika maneno machache tu.
[Mwisho wa hotuba yake pale uwanja wa ndege]
Raisi amesema: "Kuhusu yanayoendelea Dodoma sina ninalolijua".
Jiulize tu maswali haya:
1.Hajaulizwa swali lolote na mtu yeyote kwanini aseme hivyo?
-Raisi wa inchi asijue kinachoendelea inchini mwake?- Haiwezekani.
2. Alivyoiendesha hotuba yake.
Aliyoyaongea yote, Hata nusu saa ingetosha kuyaongea na akaondoka zake lakini badala yake alitumia muda mwingi kurudiaridia vitu vilevile na ile ni 'delaying tactic',
anazo hesabu zake na bila shaka ambazo zinaendana na kile kinachoendelea Dodoma.
3. Body language. facial expression&composure
Rais alikuwa ametulia, hana wasiwasi na asie na papara.
Hii inatuambia kuwa kila kitu kiko sawa,
Huwezi kuwa na janga linaloweza kupelekea kulazimika pengine hata kulivunja baraza la mawaziri lako,
Huna ukijuacho halafu ukabaki kuleta hadithi za madaktari wa marekani.
Nimeipenda taarifa yake hii,
Ila nikiri imeniharibia shauku yangu ya kutaka kuona ambacho kingejiri Dodoma.
Lakini, kwakuwa yeye ni mtendaji zaidi ameamua kuliweka hilo katika maneno machache tu.
[Mwisho wa hotuba yake pale uwanja wa ndege]
Raisi amesema: "Kuhusu yanayoendelea Dodoma sina ninalolijua".
Jiulize tu maswali haya:
1.Hajaulizwa swali lolote na mtu yeyote kwanini aseme hivyo?
-Raisi wa inchi asijue kinachoendelea inchini mwake?- Haiwezekani.
2. Alivyoiendesha hotuba yake.
Aliyoyaongea yote, Hata nusu saa ingetosha kuyaongea na akaondoka zake lakini badala yake alitumia muda mwingi kurudiaridia vitu vilevile na ile ni 'delaying tactic',
anazo hesabu zake na bila shaka ambazo zinaendana na kile kinachoendelea Dodoma.
3. Body language. facial expression&composure
Rais alikuwa ametulia, hana wasiwasi na asie na papara.
Hii inatuambia kuwa kila kitu kiko sawa,
Huwezi kuwa na janga linaloweza kupelekea kulazimika pengine hata kulivunja baraza la mawaziri lako,
Huna ukijuacho halafu ukabaki kuleta hadithi za madaktari wa marekani.
Nimeipenda taarifa yake hii,
Ila nikiri imeniharibia shauku yangu ya kutaka kuona ambacho kingejiri Dodoma.