ivi skuiz umuhimu wa honey moon uko wap????

ivi skuiz umuhimu wa honey moon uko wap????

Mahondaw

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
74,661
Reaction score
184,067
helllow frnds how r doing!! napenda kuuliza juu ya suala la honey moon especially ktk hik kizaz chetu kilicholaaniwa! kiukwel vijana wa skuiz unakuta kabint kadogoo tayar kameanza kuingia kweny mapenz! yani si wanawake si wanaume balaa 2pu! so napenda kujua kuna umuhimu gan wa honey moon wakat watu wameshajuana kiundan long tym ktambo!!???
 
honeymoon pia inapunguza stress za maandalizi ya harusi..
na kukaa mbali na majukumu ya kila siku
 
kwani sababu za kufanya honeymoon ni zipi?
 
Narekebisha tu,kizazi hiki hakijalaaniwa,usikufuru Mungu.
 
Kwenye ligi hata kama mshindi akiwa ameshajulikana bado zile mechi za kukamilisha ratiba zitachezwa tu.
Honeymoon ni formality tu angalau inaweza kuwapatia maharusi kipindi cha kupumzika baada ya miserebuko.
 
kizazi kimelaaniwa na nan?? Honeymoon a.k.a "mwezi wa asali" unaumuhmu wake kwani unawatambulsha katika muunganiko wa kibaiolojia usio wa wasiwasi...
 
Ni kwenda kuzindua albamu...mana single inakuwa tayari ishatoka...
 
nmeipenda iyo ya kutoa albam! ni nouma
 
Narekebisha tu,kizazi hiki hakijalaaniwa,usikufuru Mungu.

aya nashkuru kwa kurekebsha kauli wacha mi niifute kauli kabisa! wajamen kizaz hik hakijalaaniwa tena ni kitakatifu kupita maelezo! NOTE: REALITY NEVER CHANGE!
 
kwa mara ya kwanza nilitumia jakuzz nikiwa honey moon!huwezi kosa cha kufanya bana,honey moon ni muhimu.
 
Back
Top Bottom