IVI NANI MCHEZAJI BORA TPL MSIMU HUU 2018/2019?

IVI NANI MCHEZAJI BORA TPL MSIMU HUU 2018/2019?

Elly ceejr

Member
Joined
Dec 24, 2016
Posts
51
Reaction score
17
Polen na mihangaiko ndugu zangun
Niende moja kwa moja kweny maada husika nlikuwa najarb kuwaza ivi ni nani anaweza kuwa mchezaj bora msimu huu wa 2018/2019 katka TPL ? na ukiangalia ligi inaelekea ukingoni. Kwa mtazamo wangu nadhani Ibrahim Ajibu Migomba kwa kuzingatia takwimu zake mpaka saiz akiwa na magol 6 na assists 16.Ingawa pia kuna wachezaj wengne wamefany vzur mfano Khamis Hassan ( Kagera sugar),Salim Aiye(Mwadui),Heritier Makambo(Yanga),Mk14(Simba),CCC(Simba)
That’s according to me. Your turn guys
 
Marefa wanaochezesha game za mikia wanastahili kuchukua uchezaji bora msimuu huu...mmoja kati yao apewe
 
Nazan msimu huu atachukua Zahera, si unajua anavyopenda kujivisha kila cheo.
Msemaji wa timu ni yeye, kocha wa timu, shushushu wa timu, mpiga ramli wa timu, mtembeza bakuli. yaani vyote ni yeye tu.
 
Nadhani kwakuwa MK14 atachukua tuzo ya mfungaji bora njia nyeupe kwa Ajib kuchukua mchezaji bora wa msimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom