festor lupembe mtemi
Member
- Aug 1, 2013
- 24
- 3
naombeni mawazo yenu kwahi lililonikuta mimi kuna mwawanamke na mpenda sema nini najitahidi kumuonesha kama nampenda lakini mwenzangu haoneshi kama uko pamoja na mimi hili ninatokana na nini
naombeni mawazo yenu kwahi lililonikuta mimi kuna mwawanamke na mpenda sema nini najitahidi kumuonesha kama nampenda lakini mwenzangu haoneshi kama uko pamoja na mimi hili ninatokana na nini
Ukitaka mwanamke akupende "Mpe hela, we mpe hela, nasema mpe hela, narudia tena mpe hela.... baaaaaaaaaasi!!!!!!!"
naombeni mawazo yenu kwahi lililonikuta mimi kuna mwawanamke na mpenda sema nini najitahidi kumuonesha kama nampenda lakini mwenzangu haoneshi kama uko pamoja na mimi hili ninatokana na nini
Kwa kifupi ni hivi binadamu wote wanapenda hata mwanamke anapenda pia, inawezkana kuwa huyo mwanamke uliyempenda yeye hajakupenda na pia cku zote katka mapenzi ucmwonyeshe mtu unampenda kiasi gan kwa sabab ukimwonyesh undan wako au uhalisia wako kuhusu mapenzi atakutesa sana