Duuu unakula sana mboga za majani punguza asee!Nyonyo la kushoto ni kubwa kuliko la kulia.
Hahahahha kwa hiyo ukiwa unaangalia tv/picha ukaona watu wa mbele ni wakubwa kuliko wa nyuma huwa unaamini wako hivyo katika uhalisia??Nyonyo la kushoto ni kubwa kuliko la kulia.
Hahahahha kwa hiyo ukiwa unaangalia tv/picha ukaona watu wa mbele ni wakubwa kuliko wa nyuma huwa unaamini wako hivyo katika uhalisia??
Kwa kukusaidia tu object huwa inapungua size kadri inavyokua mbali na kamera and vice versa.
ha ha ha eti "mapigo yangu ya mbio yaende moyo"Hilo ziwa limefanya mapigo yangu ya mbio yaende moyo
umefurahii mwenyeweha ha ha eti "mapigo yangu ya mbio yaende moyo"
Hvyo vitundu kwenye pua anahema vizuri kweli
halafu wewe uwe unaniamkia mie nina umri kama wa mshua wakoumefurahii mwenyewe