ITV wamekumbwa na shida gani?

ITV wamekumbwa na shida gani?

nndondo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2010
Posts
1,251
Reaction score
899
Wandugu niko sasa hivi naangalia kipindi kilichokuwa kinaitwa Kipima Joto. Naamini hiki kipindi na jina lake kilitengenezwa kuwa platform ya mijadala yakitaifa ya kuchangia mambo muhimu ya taifa letu. Lakini leo pamoja na mara nyingine nyingi tunakiona kimekuwa ni PR platform.

Hivi ni sawa private sector iite watendaji wa serikali kwa kutoa muda bure, ili kujadlli mafanikio ya serikali ya Magufuli? What a shame, Joyce achene kujikumba hjamani haya mambo yangefanywa na vijarida vidogo vidogo vya wakina changamoto na Jamhuri note you.

Halafu bado mnaendeleza kutumia waandishi mambumbumbu kama huyu binti, ambao wala hawaandaliwa kulikabili jopo yeye ndio anuliza maswali ya kipumbavu kuliko uelewa wetu sisi watazamnai. Yes serikali inawabana lakini na nyie ITV uongozi weni ni very weak, hapa ndipo tunapoona viongozi wenye uwezo na wale wanoabebwa, wakina Ndio mzee. Hebu sikilizeni kinachoendellea jamani. wazungumzaji wako kwenye kiti moto laklini wako so relaxed.

Huu uwezo wa watanganzaji wa ITV ni wa kituo cha wilaya ama community television. Bonge la PR hakiyamungu, ndio shida ya wajikombi, afadhali seriklai imekataza kufanya kazi na private media, vipindi vya maana hamvirushi haya ya kipumbavu na kujikomba ndio mnashabikia, mmejaza vipindi mpaka eti jukwaa huru, lakini majukwaa yote hayo hakuna segmentaton. imekula kwenu
 
Wameniboa sana...nimeamua kuangalia Shilawadu maana najua hata huo mzigo wenyewe unaosifiwa ITV uko huku unakula Ubuyu!
 
Wandugu niko sasa hivi naangalia kipindi kilichokuwa kinaitwa Kipima Joto. Naamini hiki kipindi na jina lake kilitengenezwa kuwa platform ya mijadala yakitaifa ya kuchangia mambo muhimu ya taifa letu. Lakini leo pamoja na mara nyingine nyingi tunakiona kimekuwa ni PR platform.

Hivi ni sawa private sector iite watendaji wa serikali kwa kutoa muda bure, ili kujadlli mafanikio ya serikali ya Magufuli? What a shame, Joyce achene kujikumba hjamani haya mambo yangefanywa na vijarida vidogo vidogo vya wakina changamoto na Jamhuri note you.

Halafu bado mnaendeleza kutumia waandishi mambumbumbu kama huyu binti, ambao wala hawaandaliwa kulikabili jopo yeye ndio anuliza maswali ya kipumbavu kuliko uelewa wetu sisi watazamnai. Yes serikali inawabana lakini na nyie ITV uongozi weni ni very weak, hapa ndipo tunapoona viongozi wenye uwezo na wale wanoabebwa, wakina Ndio mzee. Hebu sikilizeni kinachoendellea jamani. wazungumzaji wako kwenye kiti moto laklini wako so relaxed.

Huu uwezo wa watanganzaji wa ITV ni wa kituo cha wilaya ama community television. Bonge la PR hakiyamungu, ndio shida ya wajikombi, afadhali seriklai imekataza kufanya kazi na private media, vipindi vya maana hamvirushi haya ya kipumbavu na kujikomba ndio mnashabikia, mmejaza vipindi mpaka eti jukwaa huru, lakini majukwaa yote hayo hakuna segmentaton. imekula kwenu
tatizo ni Mengi na Ntuyabaliwe wake.

[HASHTAG]#opportunists[/HASHTAG] !
 
.......This is Ufipa Tv reporting live from Kibobdoni...!
 
Wandugu niko sasa hivi naangalia kipindi kilichokuwa kinaitwa Kipima Joto. Naamini hiki kipindi na jina lake kilitengenezwa kuwa platform ya mijadala yakitaifa ya kuchangia mambo muhimu ya taifa letu. Lakini leo pamoja na mara nyingine nyingi tunakiona kimekuwa ni PR platform.

Hivi ni sawa private sector iite watendaji wa serikali kwa kutoa muda bure, ili kujadlli mafanikio ya serikali ya Magufuli? What a shame, Joyce achene kujikumba hjamani haya mambo yangefanywa na vijarida vidogo vidogo vya wakina changamoto na Jamhuri note you.

Halafu bado mnaendeleza kutumia waandishi mambumbumbu kama huyu binti, ambao wala hawaandaliwa kulikabili jopo yeye ndio anuliza maswali ya kipumbavu kuliko uelewa wetu sisi watazamnai. Yes serikali inawabana lakini na nyie ITV uongozi weni ni very weak, hapa ndipo tunapoona viongozi wenye uwezo na wale wanoabebwa, wakina Ndio mzee. Hebu sikilizeni kinachoendellea jamani. wazungumzaji wako kwenye kiti moto laklini wako so relaxed.

Huu uwezo wa watanganzaji wa ITV ni wa kituo cha wilaya ama community television. Bonge la PR hakiyamungu, ndio shida ya wajikombi, afadhali seriklai imekataza kufanya kazi na private media, vipindi vya maana hamvirushi haya ya kipumbavu na kujikomba ndio mnashabikia, mmejaza vipindi mpaka eti jukwaa huru, lakini majukwaa yote hayo hakuna segmentaton. imekula kwenu
Mlizoea ITV inayoendesha uzandiki dhidi ya Serikali, Safari hii mmekwama - ITV hii iko imara na inafanya kazi na Serikali kwa faida ya Tanzania yetu chini ya Rais JPM. Utasubiri Sanaaaaaaaaaaaaa
 
Mengi yupo kwenye penzi moto moto na Klyne.

Muda wa kuangalia maendeleo ya kazi zake anautoa wapi akati anapetiwa petiwa?
 
Wandugu niko sasa hivi naangalia kipindi kilichokuwa kinaitwa Kipima Joto. Naamini hiki kipindi na jina lake kilitengenezwa kuwa platform ya mijadala yakitaifa ya kuchangia mambo muhimu ya taifa letu. Lakini leo pamoja na mara nyingine nyingi tunakiona kimekuwa ni PR platform.

Hivi ni sawa private sector iite watendaji wa serikali kwa kutoa muda bure, ili kujadlli mafanikio ya serikali ya Magufuli? What a shame, Joyce achene kujikumba hjamani haya mambo yangefanywa na vijarida vidogo vidogo vya wakina changamoto na Jamhuri note you.

Halafu bado mnaendeleza kutumia waandishi mambumbumbu kama huyu binti, ambao wala hawaandaliwa kulikabili jopo yeye ndio anuliza maswali ya kipumbavu kuliko uelewa wetu sisi watazamnai. Yes serikali inawabana lakini na nyie ITV uongozi weni ni very weak, hapa ndipo tunapoona viongozi wenye uwezo na wale wanoabebwa, wakina Ndio mzee. Hebu sikilizeni kinachoendellea jamani. wazungumzaji wako kwenye kiti moto laklini wako so relaxed.

Huu uwezo wa watanganzaji wa ITV ni wa kituo cha wilaya ama community television. Bonge la PR hakiyamungu, ndio shida ya wajikombi, afadhali seriklai imekataza kufanya kazi na private media, vipindi vya maana hamvirushi haya ya kipumbavu na kujikomba ndio mnashabikia, mmejaza vipindi mpaka eti jukwaa huru, lakini majukwaa yote hayo hakuna segmentaton. imekula kwenu
Na wewe anzisha TV ya kwako ili ikufanyie hayo unayotaka kuyasikia.
 
Wandugu niko sasa hivi naangalia kipindi kilichokuwa kinaitwa Kipima Joto. Naamini hiki kipindi na jina lake kilitengenezwa kuwa platform ya mijadala yakitaifa ya kuchangia mambo muhimu ya taifa letu. Lakini leo pamoja na mara nyingine nyingi tunakiona kimekuwa ni PR platform.

Hivi ni sawa private sector iite watendaji wa serikali kwa kutoa muda bure, ili kujadlli mafanikio ya serikali ya Magufuli? What a shame, Joyce achene kujikumba hjamani haya mambo yangefanywa na vijarida vidogo vidogo vya wakina changamoto na Jamhuri note you.

Halafu bado mnaendeleza kutumia waandishi mambumbumbu kama huyu binti, ambao wala hawaandaliwa kulikabili jopo yeye ndio anuliza maswali ya kipumbavu kuliko uelewa wetu sisi watazamnai. Yes serikali inawabana lakini na nyie ITV uongozi weni ni very weak, hapa ndipo tunapoona viongozi wenye uwezo na wale wanoabebwa, wakina Ndio mzee. Hebu sikilizeni kinachoendellea jamani. wazungumzaji wako kwenye kiti moto laklini wako so relaxed.

Huu uwezo wa watanganzaji wa ITV ni wa kituo cha wilaya ama community television. Bonge la PR hakiyamungu, ndio shida ya wajikombi, afadhali seriklai imekataza kufanya kazi na private media, vipindi vya maana hamvirushi haya ya kipumbavu na kujikomba ndio mnashabikia, mmejaza vipindi mpaka eti jukwaa huru, lakini majukwaa yote hayo hakuna segmentaton. imekula kwenu
toka kaondoka masako hamna kitu hapomi nilipona mada tuu na watu waliohalikwa nikazima TV
 
Hakuna chombo cha habari salama zaidi ya social media
 
Mlizoea ITV inayoendesha uzandiki dhidi ya Serikali, Safari hii mmekwama - ITV hii iko imara na inafanya kazi na Serikali kwa faida ya Tanzania yetu chini ya Rais JPM. Utasubiri Sanaaaaaaaaaaaaa
sasa wew hauoni kama inapunguza idadi ya waangaliaji na wakipungua ni nani atazamini matangazo watalipaje kodi
 
Mimi naskiza radio imani tu sku hizi nipate hoja za kuwabana waislamu vzr....
 
Wandugu niko sasa hivi naangalia kipindi kilichokuwa kinaitwa Kipima Joto. Naamini hiki kipindi na jina lake kilitengenezwa kuwa platform ya mijadala yakitaifa ya kuchangia mambo muhimu ya taifa letu. Lakini leo pamoja na mara nyingine nyingi tunakiona kimekuwa ni PR platform.

Hivi ni sawa private sector iite watendaji wa serikali kwa kutoa muda bure, ili kujadlli mafanikio ya serikali ya Magufuli? What a shame, Joyce achene kujikumba hjamani haya mambo yangefanywa na vijarida vidogo vidogo vya wakina changamoto na Jamhuri note you.

Halafu bado mnaendeleza kutumia waandishi mambumbumbu kama huyu binti, ambao wala hawaandaliwa kulikabili jopo yeye ndio anuliza maswali ya kipumbavu kuliko uelewa wetu sisi watazamnai. Yes serikali inawabana lakini na nyie ITV uongozi weni ni very weak, hapa ndipo tunapoona viongozi wenye uwezo na wale wanoabebwa, wakina Ndio mzee. Hebu sikilizeni kinachoendellea jamani. wazungumzaji wako kwenye kiti moto laklini wako so relaxed.

Huu uwezo wa watanganzaji wa ITV ni wa kituo cha wilaya ama community television. Bonge la PR hakiyamungu, ndio shida ya wajikombi, afadhali seriklai imekataza kufanya kazi na private media, vipindi vya maana hamvirushi haya ya kipumbavu na kujikomba ndio mnashabikia, mmejaza vipindi mpaka eti jukwaa huru, lakini majukwaa yote hayo hakuna segmentaton. imekula kwenu
Ulitaka watangaze historia ya Nyalandu?
 
Back
Top Bottom