Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,535
Wana jamvi, kiukweli kituo cha televisheni cha Itv kupitia king'amuzi cha Star Times kina mikwaruzo ambayo inaleta kero kutazama. Vituo vingine vyote viko safi kabisa isipokuwa Itv. Tunawaomba wamiliki wa kituo washughulikie tatizo hilo( wakishirikiana na star times) ili hata sisi wa maisha ya chini tuweze kufuruhia maisha kwa kutazama runinga. Hakuna mantiki ya kujitangaza kuwa BRAND wakati kituo kina scratch hadi kuumiza mnacho. Nawasilisha.