Joram kiango
Member
- Aug 25, 2013
- 82
- 16
Kuna vitu vya kusahau siyo jambo zito kama hilo. Huo ni mpango mzima.
Mengi kituo chake kinahujumiwa na vikada vichache vya ccm amkumbuki some body makunga Dc Hai sasa hivi je alihujumu upinzani kwa kiasi gani mpaka akakumbukwa udc, so I think bado IPP media kuna virusi sampuli hiyo ndio hizo impact tunazoona leo
Nipo tayari kuchangia kama nitasikia CDM kipo katika mchakato wa kuanzisha hata radio,tbccm,itvccm,statvccm na chanel 10ccm
Ama kweli watanzania tunaishi kinafiki,mpaka mengi naye anatumika na masisiem?balaa duniani.
Nipo tayari kuchangia kama nitasikia CDM kipo katika mchakato wa kuanzisha hata radio,tbccm,itvccm,statvccm na chanel 10ccm
Ama kweli watanzania tunaishi kinafiki,mpaka mengi naye anatumika na masisiem?balaa duniani.
Mkuu, ni kweli hili wazo ni zuri na ninahakika kama CDM wakitangaza mchango wa kuanzisha TV watu wengi tu tutajitolea, shida iko hapa, Kibari cha kurusha matangazo watapewa na hawa makada wa magamba?Nipo tayari kuchangia kama nitasikia CDM kipo katika mchakato wa kuanzisha hata radio,tbccm,itvccm,statvccm na chanel 10ccm
Nipo tayari kuchangia kama nitasikia CDM kipo katika mchakato wa kuanzisha hata radio,tbccm,itvccm,statvccm na chanel 10ccm
Kituo cha i.t.v ktk taarifa za habari wana mtindo wa ku pitisha maneno ya habari zilizomo, usiku huu nimeshangaa habari ya kuhusu kesi ya lema na mulongo imeyeyukia hewani bila kurushwa. .sitaki kuamini i.t.v nao wanatumikia serikali na ccm kama tbc. Ila nina imani kuna mtu kapigiwa simu akipewa donge nono iliasionyeshe jinsi serikali ya ccm inavyotumia vibaya kodi za wananchi kuwafungulia kesi zisizo na maana wapinzani. Anyway i hope kesho habari zitatapakaa magazetini.
Long live chadema
Mkuu hata mimi nimeshangaa imewekwa miongoni mwa habari zinazotakiwa kusomwa lakini haikusomwa labda tucheck marudio ya saa tano au asubuhi. Inawezekana wamejisahau ila kama wamefanya kusudi ni hatari.
Mengi kituo chake kinahujumiwa na vikada vichache vya ccm amkumbuki some body makunga Dc Hai sasa hivi je alihujumu upinzani kwa kiasi gani mpaka akakumbukwa udc, so I think bado IPP media kuna virusi sampuli hiyo ndio hizo impact tunazoona leo