rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Yaani hamripoti habari za matukio kama ujambazi, uhalifu, matukio ya jamii ya kila siku, kila siku ni siasa tuuuu! Mnaboa sana.
Yaani hamripoti habari za matukio kama ujambazi, uhalifu, matukio ya jamii ya kila siku, kila siku ni siasa tuuuu! Mnaboa sana.
Yaani hamripoti habari za matukio kama ujambazi, uhalifu, matukio ya jamii ya kila siku, kila siku ni siasa tuuuu! Mnaboa sana.
We ndooroobo!
Siasa ni maji,afya,elimu,kilimo,ufugaji na maisha yako ya kila sekunde we unataka waripoti habari za bongo fleva?
Rudi darasani ukapate elimu ya uraia ndio urudi hapa na pumba zako.
1. Polisi wanapiga wanahabari kila siku hivyo hawana tija kuwakatia mawasiliano nisawa kabisa.
2. Kinachouza habari ni siasa huu nimwaka wa uchaguzi lazima watu waelimishwe vema.
3. Ujambazi wizi na ufisadi unaripotiwa kila siku mmechukuwa hatuagan? Escrow, Gama huko kilimanjaro,nk
4. Uharamia na unyanyasaji wa polisi kila siku
-Juzi polisi walikamata Salum Mwalim huko mufindi
Juzi polisi walikanata cdm huko mafia
- jana polisi Singida wamepiga raia, maji yakuwasha na mabom
-Leo gongo lamboto, polisi wamepiga wanafunzi, maji yakuwasha na mabom juu-KAMPALA UNIVERSITY
UNATAKA WATANGAZE NINI?
mkuu leo umekula maharage aliyokula pengo hadi kujaribu kumtakasa kiazi mrema kwa maombi batili!!!!kanywe maji baridi na supu.