Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,675
- 22,265
Acha wivu wa kike!ITV kibwagizo chenu cha Miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika mmekua mkituonesha Magufuli kuwa ndiye Rais! Niwakumbushe Rais ni Samia Suluhu Hassan hivyo wekeni sehemu ya hotuba zake na si za Magufuli.
Haujaeleweka.Waweke na hotuba za Mwamba ametimiza miaka 60!
Mwamba gani bwashe? Nchi hii Ina miamba mingi, hata Joseph Kasheku Musukuma ni mwamba kule nyarugusu.Waweke na hotuba za Mwamba ametimiza miaka 60!
Acha upumbavu,fuatilia kwa makini ,vibwagizo vya Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere mpaka Samia vinawekwa ,unaghubu sana wewe mtoto wa kike dhidi ya hayati Magufuli,ITV kibwagizo chenu cha Miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika mmekua mkituonesha Magufuli kuwa ndiye Rais! Niwakumbushe Rais ni Samia Suluhu Hassan hivyo wekeni sehemu ya hotuba zake na si za Magufuli.
Huo wivu wa kike ndio ukoje bibie?Acha wivu wa kike!
Hao Tiibiisii wenyewe wameamua kupika live studioni.Hicho ni kituo binafsi huwezi wapangia nn cha kuonesha nn wasioneshe ht wakiamua kuonesha mchiriku siku nzima hakuna sheria inawakataza...komaeni na Tibisii yenu waweke mnayotaka yaonekane maana hao ndo mna umiliki nao.
Sawa tumekusikiaITV kibwagizo chenu cha Miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika mmekua mkituonesha Magufuli kuwa ndiye Rais! Niwakumbushe Rais ni Samia Suluhu Hassan hivyo wekeni sehemu ya hotuba zake na si za Magufuli.
Nchi ina Rais mmoja kwa wakati mmoja na ndiye tunatakiwa kumsikiliza.Hicho ni kituo binafsi huwezi wapangia nn cha kuonesha nn wasioneshe ht wakiamua kuonesha mchiriku siku nzima hakuna sheria inawakataza...komaeni na Tibisii yenu waweke mnayotaka yaonekane maana hao ndo mna umiliki nao.